Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
Dah, makamanda wanapiga kazi:
Nimependa jinsi raia wanavyo wapenda wanajeshi wao hadi kuwaletea chakula.
muache apunguze machungu mkuu,ila ajue waislamu na uislamu ataondoka atauachamkuu tengua kauli watakuja speed ooooh,sema waarabu usiseme muslims
Kweli dini upofu, Mungu anaapa kuilinda Israel kwa kumkhofia nani? Yeye ndio mungu sasa anaogopa kiumbe gani kuiangamizA Israel? Muwe mnauliza na maswali sio mnaitikia tuHiyo ni Nguvu yake mungu mwenyewe maana Aliapa kuilinda Israel yke hadi mwisho,,
Kila Aibarikie Israel atabarikiwa na kila Ailaanie Israe pia Atalaaniwa,,
Ni kiapo kikubwa sn hiki,, kwa Lugha rahisi unaweza kusema ,,kila Aipendae Israel naye Atapendwa na Mungu na kila atakaye thubutu kuipiga Israel basi Atachakazwa na Mungu mwenyewe kwa kutumia mkono ule ule wa mwanadamu,,
Shime tuipende sote Israel taifa letu la Tz nalo libarikiwe na Mungu wetu.
linganisha mtoto wa kipalestina na wakiisrael,utaona mademu wa kiisrael hawana mvuto kabisa,wamechanganya mno damu,unakuta binti wa kigiriki nae anajiita myahudi,au mu ukraine,hadi DNA zao zilishachange maana sio semite tena,wamechanganya na uzao wa japhet,wakati wapalestina ni pure uzao wa shem,hawajachanganyaHasa wale watoto watu, dah Israel ina watoto wazuri si mchezo! Sasa sisi na polisi wetu je?
Yaani jamiiforum bana, nimecheka mpaka machozi yamenitoka!!!!Israel ndege yenye nguvu namna hiyo ya nini wakati wapalestina wanatumia mawe?
halafu sehemu ya hiyo gase iko katika maji ya lebanon,sasa ili visima visishambuliwe israel anapanga kutoa contract kwa kampuni ya kirusi ndo ichimbe na kwa hali hiyo watakuwa na uhakika vitabaki salama kwani hezbollah watajizuia kushambulia interest za mrusiHizo ni story za kipropaganda.
Hizo trillion 32 cubic meters za Tamar na Leviathan sio dili
Hizo ni 10% tu ya reserve iliyopo saudArabia ambayo ni ya tano duniani nyuma ya marekani kuwa na reserve yA kutosha. Wakati Egypt katika bahari ya Mediterranean imegundulika gesi iliyovunja record kwa wingi.
Hiyo story ya ulaya na us kuuziwa hicho kiwango cha gesi na mafuta kwa miaka hiyo ni kahawa,hiyo ni kama 5% ya reserve ya gesi iliyopo us
ndo mambo ya imani hayo,ni kama lile andiko linasema waasyria waliuzingira mji wa jerusalemu wakitaka kuuteka,basi mungu wa israel akatuma malaika usiku wa manane na kuwapiga,walipoamka asubuhi walijikuta wamekufa wote...Kweli dini upofu, Mungu anaapa kuilinda Israel kwa kumkhofia nani? Yeye ndio mungu sasa anaogopa kiumbe gani kuiangamizA Israel? Muwe mnauliza na maswali sio mnaitikia tu
Huyo 'mungu' wao muoga,anashindwa kuwalinda waIsrael,mpaka awatafutie ndege za vita.Kweli dini upofu, Mungu anaapa kuilinda Israel kwa kumkhofia nani? Yeye ndio mungu sasa anaogopa kiumbe gani kuiangamizA Israel? Muwe mnauliza na maswali sio mnaitikia tu
"If Israel's enemies were to lay down their guns tomorrow, there would be no war. If Israel were to lay down theirs, there would be no Israel"-Benjamin Netanyahu.
F 117 stealth yake haikuwa programable ilikuwa imetengenezwa in such a way light ndo inabend ila hizi za sasa ni stealth kwa programable pamoja na paintHiyo si stealth
Una maana iyo f-35 ni stealth fighter sio kama f-117 iliyoangushw serbia au ile aina ya B-2 iliyonekana kwenye rada maeneo ya nevada.hapo nimekuelewa mkuu kweli marekani wanatisha wanatengeneza mpaka stealth aircraft
Roumurs tu zileIvi yule mwanajeshi wa marekani aliyeiyona B-2 kwenye rada bado yupo kazini au halifukuzwa ?
Six day warWaIsrael lazima wajilinde Mkuu. Yaani wamezungukwa na maadui pande zote. Kuna Palestina, Jordan, Lebanoni, Syria hao wote ni maadui zake. Ndio maana wanajitahidi kuwekeza ktk kila technolojia. Ndo maana pamoja na kuzungukwa na adui kila kona lakini hawaguswi.
Ile ilikuwa drone na ilianguka yenyewe ila haikutunguliwaHata marekan alitengeneza ndege kama hiyo isio onekana na rada yyt kwa kipindi cha miaka miwili safar ya kwanza tu kwenda iran wakaishusha wacha tuone na hiyo
Hakuna ndege ya mrusi i ayoiweza f 15 eagleHiyo ni funga kazi mrusi baada ya kuona f-35 imetoka naye yupo jikoni na Mig-30![]()
Kama ilianguka yenyewe,ndio ujuwe hakuna utaalamu hapo,ni ubabaishaji tu.Ile ilikuwa drone na ilianguka yenyewe ila haikutunguliwa
Ofcoz ata ndege au gari likianguka peke yake ni ubabaishajiKama ilianguka yenyewe,ndio ujuwe hakuna utaalamu hapo,ni ubabaishaji tu.
Ndio maana Yake,ni ubabaishaji,hakuna utaalamu wowote,Ofcoz ata ndege au gari likianguka peke yake ni ubabaishaji
Ndo akili yko hyo ya kutoamini inavyokutuma
Unaongea kama moja ya mwanasayanc moja mashuhuri dunianiNdio maana Yake,ni ubabaishaji,hakuna utaalamu wowote,