marekani anaogopa kuwauzia wasaud hizo ndege kwa kuhofia israel itapigwa.
Nimeanza kuifuatilia F-35 miaka kumi iliyopita tangu ikiwa ni joint project ya nchi za umoja wa NATO,kipindi kile ikiitwa F-35 Jointstrike.
Baadae mataifa ya ulaya wanachama wa NATo walijitoa katika mpango huo baada ya kuona hailipi,project ikabaki na wamarekani,
kuna mpango wa baadhi ya nchi za NATO kuanza kuitengeza ikiwemo uturuki,japo kwasasa uturuki wanatengeza multirole stealth fighter yao.
Vilevile nadhani utakuwa huna taarifa kuwa israel kishaanza kuelekea zaidi Russia baada ya wamarekani kuonekana kuanza kuchoka kuwapa hela,ndo maana Netanyau hazipiti wiki mbili yuko moscow na wanapanga kufanya mazoezi ya kijeshi na moscow hivi karibuni.
Pia utakuwa huna habari kuwa katika kipindi cha miaka 20 marekani ndo wamekuja na ndege 2 tu,wakati wenzao warusi wana ndege nyingi mpya,mfano sukhoi 30,sukhoi 35,sukhoi-50,mig-30,mig-31,mig-35 etc.
Ukiangalia perfomance za ndege za mrusi kule syria utaona kuwa wameweza kufanya sorties au mashambulizi mengi sana kwa siku moja na kwa kutumia ndege chache kuliko wamarekani na washirika walizokuwa wanafanya kwa wiki,ni baada ya israel kugundua hilo ndo wakaona waanze pia kujielekeza russia,tatizo ndege za marekani ni mayai sana na ubishoo mwingi zile za russia NI KAZI TU