Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,942
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mamamamamamammae...dah mkuu sawa bhana..Kuna mambo mawili wanayo fanya.
1. Wanatengeneza ndege ambayo haionekani kwenyw radar yako
2. Wanaingilia system ya radar yako ili wakati wao wanapita na ndege zao wewe kwenye rada yako wanakuwekea movie ya kanumba uendelee kuenjoy [emoji28] [emoji28]