Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
iran ishambuliwe imefanyeje kwani? ila iran kama ina hamu ya kipigo iende ikachokoze telaviv nadhan hapo ndo itatambua kuwa zombi(USA)halishibi damu....hao kina russia wataufyata asione wanampa kichwa sasa hivi maana hata iraq ilipewa kichwa hivyohvyo
Iran huwa inaishia tu kusema itaifuta Israel kwenye uso wa dunia. Sasa imewasaidia waarabu kwa kila namna ili waipige lakini cha ajabu wanakufa wao. Haiwezi kujitokeza moja kwa moja kwa sababu inafahamu kabisa haitasubirishwa.