Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 16,531
- 30,422
Hakupata chanjo?Nimejaribu kupitia Google wanasema huo ugonjwa unaitwa canine parvovirus
Mjaribu kuponda majani na mbegu za mwarobaini kisha loweka kwenye maji kidogo.
Mwekee hayo maji anger. fanya hivyo siku 3 hivi.
Kuna mbwa alikuwa na hizo dalili tulimpa hiyo dawa alipona.