Kitoto cha mbwa miezi mitatu

Kitoto cha mbwa miezi mitatu

Sina mbwinu Mimi,😁😁 ila huo ugonjwa umenikumbusha zamani uliua mbwa home, Kuna mdogo wangu aliachiwa mbwa na Shirika tla wagerman... Ndio wakafa na huo ugonjwa.
Nilichokumbuka ni kwamba tuliomboleza mwezi mzima.
Vilikua vitano viwili vimekufa
 
Kwa nini usiende mjini saa hizi?Huoni mtoto atakufa?
Juzi Kuna jirani yetu aliogeshs mbwa wake kwa dawa ya kuogeshea mifugo vikafa vyote baada ya kujilamba so toka Jana tunavipa maziwa ya ng'ombe tukidhania huenda vilicontact hiyo sumu but tulijiridhisha kuwa tokea juzi havikutoka nyumbani that's why nikajaribu kuingia Google kuangalia hizo dalili na nimeiona wanasema ni huo ugonjwa, so mjini usiku huu maduka ya mifugo yashafungwa na. ni almost lisaa limoja kwa pikipiki so nitaenda ssubuhi
 
Habari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie
Uho ugonjwa na ujua ulishawahi ku ua mbwa wangu sikumbuki unaitwaje lakini wahi haraka kumpa huduma la sivyo utamkosa uyo
 
Mimi nilizika vimbwa 6 sababu ya ugonjwa kama huo,walianza kutapika kila wanachokula kulegea mwili kuharisha damu,nikapeleka hospital dokta anataka kila mmoja alipiwe sh laki mbili na 70,kwa dozing ya siku tatu ,nikashndwa wakafa wote ,kama ni huo ugonjwa kupona ni nadra na kutopewa chanjo kwa wakati
Dalili ni hizo hizo juzi kalijificha nyuma ya kochi sebuleni wakasshau kukatoa nje,asubuhi wife analslamiks mbwa wako ametspika sana sebuleni nikajua huenda kalikula sumu kumbe ni huo ugonjwa
 
Mimi nilizika vimbwa 6 sababu ya ugonjwa kama huo,walianza kutapika kila wanachokula kulegea mwili kuharisha damu,nikapeleka hospital dokta anataka kila mmoja alipiwe sh laki mbili na 70,kwa dozing ya siku tatu ,nikashndwa wakafa wote ,kama ni huo ugonjwa kupona ni nadra na kutopewa chanjo kwa wakati
Mwaka Jana majirani zangu watatu mbwa wote walikufa cha ajabu mpaka Leo wanaamini kuwa waliuliwa na wachawi eti wachawi huonwa na mbwa usiku sijui kama Hilo linaukweli ktk huu mtaa wetu ni mbwa wetu mama wa Hawa ndo hakufa sasa Kuna bwana mdogo wangu anadai wetu hakufa kwa sababu alimlisha nyama ya popo iliyochomwa kwamba kwa kufanya hivyo ndo dawa ya mbwa kutouliwa na wachawi ajabu sana vijijini Kuna Imani potofu sana na dogo ni bachelor holder kabisa
 
Mkuu,

Tukiacha suala la empathy kukahurumia katoto ka mbwa tu, huoni kuwa ni muhimu kuelewa ugonjwa tusije kuwa na mfumukonwa ugonjwa tusioujua?
Nimeshaujua Kuna vet mmoja nimemtafuta Yuko kibaha amenismbia ni canine parvovirus amenielekeza mahali pa kwenda kuchukua dawa huku karibu na ninapoishi mkoani mara
 
Nimeshaujua Kuna vet mmoja nimemtafuta Yuko kibaha amenismbia ni canine parvovirus amenielekeza mahali pa kwenda kuchukua dawa huku karibu na ninapoishi mkoani mara
Umefanya vizuri sana mkuu.

Kakipona vizuri utupigie picha uiweke hapa ukiweza basi.
 
Haka apa
IMG_20260720_182056_452.jpg
 
Habari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie
Mchome sindano ya pafo huyu mdq si mrefu ukichelewa unamkosa
 
Back
Top Bottom