Kitine: Nchi sasa yaongozwa kienyeji

Kitine: Nchi sasa yaongozwa kienyeji

Kidatu,

Mkuu haya ni maneno (fikra) ya Mwalimu Nyerere na zilikuwa SIASA tu kutaka kutisha watu na kukatisha tamaa..Katika makosa makubwa ya mwalimu ni ktk kurithisha iwe kitaifa au familia yake. Mzee huyu alikuwa hana kipaji hicho kwani kila aliyemchagua iwe ktk familia au Taifa wote ni BOMU!..
Hivyo tusitake kuamini maneno yake, wewe kama unataka kugombea uongozi ingia ktk siasa..Upizani wa kweli utaletwa na Mtanzania! hawa wote ni wababaishaji tu wanatafuta KULA!

......Bob Mkandara,....sijui kama una haki ya kusema hicho ulichosema hapo juu.....i mean sijuikama una-moral authority ya kusema hivyo.......anyway tuwaachie wale wenye kujua moral authority ya watu waseme wao......kwi kwi kwi kwi kwi

.....unajua ile statement ya JKN (RIP)....imetulemaza saana.....eti tukitegemea siku moja CCM itagawanyika na eti ndio upinzania wa kweli.....we were just too dumb (and most of us still are) to believe in such a statement........hapa Mwl JKN (RIP) alitudharau sana nguvu ya Watanzania.............no wonder MIJITU MINGINE IMEJENGA KIBURI inasema MASLAHI YA CHAMA KWANZA......damn!
 
- Mhhhh! Mkulu BAK hii imekaaaje hii bro?

......Bob Mkandara,....sijui kama una haki ya kusema hicho ulichosema hapo juu.....i mean sijuikama una-moral authority ya kusema hivyo.......anyway tuwaachie wale wenye kujua moral authority ya watu waseme wao......kwi kwi kwi kwi kwi

.....unajua ile statement ya JKN (RIP)....imetulemaza saana.....eti tukitegemea siku moja CCM itagawanyika na eti ndio upinzania wa kweli.....we were just too dumb (and most of us still are) to believe in such a statement........hapa Mwl JKN (RIP) alitudharau sana nguvu ya Watanzania.............no wonder MIJITU MINGINE IMEJENGA KIBURI inasema MASLAHI YA CHAMA KWANZA......damn!

Arooo...'moral authority' ya kumsema hivyo Nyerere umeitoa wapi? Subiri Mwanakijiji aione hii....utakoma ubishi
 
Yeah...kumbe na wewe umeiona hiyo eeh? Bubu alikuwa hataki watu wajadili ufisadi wa Kitine....baadae akaja kutoa "spin" eti vidole viliteleza...Lol

Ha ha ha kweli vidole viliteleza lakini kamwe siwezi kusimama popote pale katika dunia hii na kumtetea fisadi yoyote yule, lakini kama kuna fisadi au msaliti miongoni mwa Watanzania akinyoosha kidole chake kutaka kutoa maoni yake basi sitosita kumpa nafasi hiyo lakini kamwe siwezi kusimama upande wa wale ambao hawataki fisadi huyo au msaliti apewe nafasi ya kutoa maoni yake.

Akizungumza upupu nitamwambia kwamba umezungumza upupu ambao Watanzania hatuna muda wa kupoteza kujadili upupu wako, lakini akizungumza mambo yenye ukweli basi kuhusu mwenendo wa nchi yetu basi sitayapuuza maneno yake.

Anachosema Ogah hapo juu ni kweli kabisa. Maana Kikwete, Mkapa, Mwinyi bila kuwasahau akina Sumaye, Mramba, Msabaha, Karamagi wote hawa wamehusika na ufisadi wa aina moja au nyingine. Tunajua fika Kikwete kaupata Urais kupitia michango ya mafisadi akina Lowassa, Karamagi, Rostam Azizi, Manji, Subash Patel , Jeetu n.k. kwa maana nyingine na yeye Kikwete hastahili kusimama katika jukwaa lolote ndani ya nchi yetu kutoa maoni yake maana naye ni fisadi.
 
Sisis tutagombana hapa ,lakini fedha inaliwa ,nchi inazidi kudidimia na ili tufaulu kwa kweli lazima kuwe na watu watakaojitolea muhanga ili wengine wafaidi,take for example industrial development kwenye nchi za ulaya.
 
Kidatu,

Mkuu haya ni maneno (fikra) ya Mwalimu Nyerere na zilikuwa SIASA tu kutaka kutisha watu na kukatisha tamaa..Katika makosa makubwa ya mwalimu ni ktk kurithisha iwe kitaifa au familia yake. Mzee huyu alikuwa hana kipaji hicho kwani kila aliyemchagua iwe ktk familia au Taifa wote ni BOMU!..
Hivyo tusitake kuamini maneno yake, wewe kama unataka kugombea uongozi ingia ktk siasa..Upizani wa kweli utaletwa na Mtanzania! hawa wote ni wababaishaji tu wanatafuta KULA!


Bravo Bravo !!!!!!!!!!!!!

Mkandara, kwenye siasa kuna watu sio president material, sio mawaziri material na wao wanajijua. Lakini kutokana na kuwa siasa inayo nafasi nyingi ya kutoa ulaji, basi watu watampamba mtu hili wapate ukuu wa mkoa wilaya au ukatibu.

Sasa hawa watu wanaweza kumpamba mkuu wa nchi, na slogans za kisiasa zikawa kweli na kufanywa imani.

Tukirudi kwenye mada. Siasa za Tanzania zina mtazamo wake. Ukiwemo kwenye kundi la BIG BOYS, yaani Rais, mawaziri, mkuu wa mkoa, wabunge, huwezi kuona matatizo ya nchi kutokana na mtazamo wa wananchi.

Na mtu yoyote aliyetolewa nje ya U-BIG BOYS atataka kurudi kule kwa mbinu zozote zile. Tulishaona wanatoa shillingi katika bajeti kwa malalamiko mbalimbali. Hili kutulizwa wanapewa vyeo na kunyamaza. Hivyo sioni maneno ya Kitine kuwa yana Good Intentions.

Kitine anaona nchi inaongozwa kienyeji. Kuongoza kienyeji, ni kuongoza nchi bila kufuata katiba au misingi ya sheria.

Mpaka sasa nchi haijaongozwa kienyeji. Pamoja na kutongozwa kienyeji ni lazima tukubali kuwa ufanisi wa serikali katika kuleta mabadiliko ya wananchi wake ni mdogo sana. Na sababu kubwa ni KATIBA na MUUNDO MZIMA WA SERIKALI.

Kwa mfano rais anachagua mawaziri kutokana na wabunge. Kama wananchi mmechagua WABUNGE WEZI na MABOMU hao mawaziri wazuri watatoka wapi 😕.

It really amuse me kuona Chenge, Lowasa wanapokewa kwa vishindo majimboni kwao wakati wameliliza taifa.

Hawa watu, hata kama rais waliwachagua kwa kuwapendelea, bado walikuwa na TALENTS na Elimu ya kulisaidia taifa lao but they choose not to do that. Na hapa huwezi kum-prove wrong anayesema NDIVYO TULIVYO.

DR. Kitine, na u-DR wakati alikuwa na TALENTS and EDUCATION kulisaidia taifa lake wakati alipokuwa one of the BIG BHOYS, lakini alichagua kufanya kinyume.

Kwa kuanzia mimi naona KATIBA ya NCHI ni Berlin wall na sio CCM na tusubiri kugawanyika kwa CCM. KATIBA isiifanye CCM au chama cha siasa kuwa kikubwa kuliko nchi.

Kuna msemo huko Algeria kuwa: In other countries, the state owns the army, but in Algeria the army owns the state.

Likewise: In Tanzania, the constitution has allowed one political party to own the country. Na kama kuna uenyeji basi hapa ndio unapoanzia. Watanzania amkeni kutafuta constitution itakayosisitiza transparency na accountability.

Hizi AD-HOC solutions za kusikiza wanasiasa, hazita tufikisha sehemu yoyote.

Watanzania tear down this wall (Katiba).
 
......Bob Mkandara,....sijui kama una haki ya kusema hicho ulichosema hapo juu.....i mean sijuikama una-moral authority ya kusema hivyo.......anyway tuwaachie wale wenye kujua moral authority ya watu waseme wao......kwi kwi kwi kwi kwi

.....unajua ile statement ya JKN (RIP)....imetulemaza saana.....eti tukitegemea siku moja CCM itagawanyika na eti ndio upinzania wa kweli.....we were just too dumb (and most of us still are) to believe in such a statement........hapa Mwl JKN (RIP) alitudharau sana nguvu ya Watanzania.............no wonder MIJITU MINGINE IMEJENGA KIBURI inasema MASLAHI YA CHAMA KWANZA......damn!

Nakubaliana na wewe Ogah, maana kama kuna wakati ambao kulistahili kuwe na upinzani ndani ya CCM kupinga mambo mbali mbali ndani ya nchi yetu basi wakati huo ni sasa, lakini kwa mshangao wetu hatuuoni upinzani wowote toka ndani ya CCM na wale waliojaribu kufanya hivyo wote wamenyamazishwa na hatuwasikii tena. Labda tusubiri miaka 100 ndiyo kutakuwa na upinzani wa kweli ndani ya CCM na kwa maoni yangu itakuwa too late maana nchi itakuwa imeshaangamia.
 
Ha ha ha kweli vidole viliteleza lakini kamwe siwezi kusimama popote pale katika dunia hii na kumtetea fisadi yoyote yule, lakini kama kuna fisadi au msaliti miongoni mwa Watanzania akinyoosha kidole chake kutaka kutoa maoni yake basi sitosita kumpa nafasi hiyo lakini kamwe siwezi kusimama upande wa wale ambao hawataki fisadi huyo au msaliti apewe nafasi ya kutoa maoni yake.

Akizungumza upupu nitamwambia kwamba umezungumza upupu ambao Watanzania hatuna muda wa kupoteza kujadili upupu wako, lakini akizungumza mambo yenye ukweli basi kuhusu mwenendo wa nchi yetu basi sitayapuuza maneno yake.

Anachosema Ogah hapo juu ni kweli kabisa. Maana Kikwete, Mkapa, Mwinyi bila kuwasahau akina Sumaye, Mramba, Msabaha, Karamagi wote hawa wamehusika na ufisadi wa aina moja au nyingine. Tunajua fika Kikwete kaupata Urais kupitia michango ya mafisadi akina Lowassa, Karamagi, Rostam Azizi, Manji, Subash Patel , Jeetu n.k. kwa maana nyingine na yeye Kikwete hastahili kusimama katika jukwaa lolote ndani ya nchi yetu kutoa maoni yake maana naye ni fisadi.


BAK:

Lakini sometimes inabidi uangalie isije ikawa kama zile stori za lonely woman ambaye baada ya kuchoka kusubiri kwa muda mrefu kumpata Mr. Wright, amehamua kuchukua the wrong man (desperation).
 
Sisis tutagombana hapa ,lakini fedha inaliwa ,nchi inazidi kudidimia na ili tufaulu kwa kweli lazima kuwe na watu watakaojitolea muhanga ili wengine wafaidi,take for example industrial development kwenye nchi za ulaya.

Mkuu hilo jina lako linanimaliza...Inanikumbushia sana jina la waziri wetu mmoja, nadhani ni Profesa Mgongo Fimbo.
 
Mkuu hilo jina lako linanimaliza...Inanikumbushia sana jina la waziri wetu mmoja, nadhani ni Profesa Mgongo Fimbo.

The good Prof. Mgongo Fimbo alikuwa waziri lini na wa nini? Acha ku mislead watu hapa Mangi...
 
BAK:

Lakini sometimes inabidi uangalie isije ikawa kama zile stori za lonely woman ambaye baada ya kuchoka kusubiri kwa muda mrefu kumpata Mr. Wright, amehamua kuchukua the wrong man (desperation).


Mkuu hapa umeniacha kwenye mataa, hebu fafanua.
 
Anakosea tu pale anaposema NCHI inaendeshwa kienyeji. Hapo anakuwa ameitukana pia mihimili mingine miwili yaana BUNGE na MAHAKAMA. Anahoji pia TEUZI zinazofanywa na Rais ambazo zinafanyika kwa mujibu wa KATIBA tulionayo.

Unataka kusema hali ya kuendeshwa kienyeji haipo katika MAHAKAMA na BUNGE?

Omarilyas
 
wamsaidie kijana wao JK ili kunusuru taasisi yao ccm waliyoitumia kwa muda mrefu kukandamiza wenye mawazo mbadala na kulinda heshima ya ukuu bila utendaji dhahiri.

Yote uliyosema ni sawa lakini hapa unamfisadi Mzee Kitine.....Mtake radhi ili nawe ujitenganishe na hao unao walaamu kwa ubakaji wa demokrasia...

Omarilyas
 
Unataka kusema hali ya kuendeshwa kienyeji haipo katika MAHAKAMA na BUNGE?

Omarilyas

Mkuu nilidhani ni mwanachama mpya kumbe ni wa siku nyingi. Hongera kwa kubadili jina. Hakuna mhimili wowote ambapo hakuna mambo ya kienyeji. Tumeona jinsi Wabunge walivyoburuzwa katika kikao kilichoisha wiki chache zilizopita na huko mahakama ndiyo rushwa imekithiri kupita kiasi. Angalia jinsi Liyumba alivyopewa dhamana ambayo hakustahili sasa kaingia mitini. Pia kuna yule fisadi wa Rada Vethalani ambaye alikuwa tayari ameshaanza kuhojiwa na vyombo vya dola lakini naye akaweza kutoroka kirahisi kabisa.
 
Mkuu hapa umeniacha kwenye mataa, hebu fafanua.


Simple. Kuna uwezekano mkubwa watu wako kwenye desperation ya kupata mabadiliko. Na anapoona mabadiliko hayatokei yupo tayari ku-compromise principles zake.

Mabadiliko unayataka yaje tena kwa haraka. Lakini hakuna wasemaji. Wabunge wameshindwa kusema. Wananchi wanajirusha kwenye mdundiko. Na kilichobakia ni wewe kukubaliana na mtu yoyote mwenye guts.

Hii sawa na mwanamke aliyesubiri mchumba au mume mwenye sifa fulani kwa muda mrefu. Lakini kutokana na mwenye sifa anazotaka kuwa in short supply anahamua kukubali mtu yoyote yule kwa mategemeo kuwa anaweza kumbadilisha baadaye. Anasahau kuwa watu wazima ni vigumu kubadilisha tabia zao.

You can put lipstick on a pig, but it's still a pig.
 
- Ninaijua siri yote ya Mwalimu kuwapeleka Kitine na wenzake wengine wengi ambao hawatajwi nje ya taifa letu wakati ana-retire, moja ya sababu zake ilikuwa kwamba one day mambo yakitaka kuharibika katika uongozi wetu warudi haraka sana tena by anymeans necessary kuliokoa taifa letu kama litapotea njia za maadili ya uongozi wa Mwalimu, halafu huyu anajua siri zote zilizolifanya taifa letu kwenda mrama sasa kama kweli anataka mabadiliko aseme yote, lakini sio hadithi za bulicheka!

Safari ya hatua elfu huanza na hatua moja....

Ni muhimu kumuona HASSY KITINE kama asasi na anaongelea wengi nyuma yake...Natumai wenye madaraka watamsikiliza "yeye" kwa lugha yake anayotumia sasa kabla ya kusubiri "wengine" kwa lugha zao wanazozijua....

Omarilyas
 
- Mkuu huuu mjadala ni muhimu sana kwa taifa, kuliko ya wewe kutangaza kwamba unanijua mimi ni kidingi, unajua kidingi katika kundi lako ni nani?........nimtaje......Bwa! ha! ha! ha!

- Punguzeni kelele za mlango....Bwa! ha! ha! ha!

Teh teh tehh

Kaka humu ndani kuna vijana hawana adabu kabisa....Wanataka kuanza kukulazimu kuretire hata kabla kazi haijaanza....

Omarilyas
 
Teh teh tehh

Kaka humu ndani kuna vijana hawana adabu kabisa....Wanataka kuanza kukulazimu kuretire hata kabla kazi haijaanza....

Omarilyas

- Kweli mkuu mimi nikuita kinding katika huu mtandao basi automatically inanifanya niwe kijana bwa! ha! ah! sawa sawa nimekusikia mkuu kwa hiyo hapa na wewe unakuwa kijana mdogo sana is that so? Bwa! ha! ha! ha!
 
Kachero huyo namba moja kwa miaka mingi, ambaye alilazimika kujiuzulu wadhifa wa uwaziri wa nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa, mwishoni mwa miaka ya 1990 kutokana na kuhusishwa na kashfa ya mkewe kufuja fedha za umma kiasi cha shilingi milioni 40, alirejea kutoa kilio chake cha miaka mingi cha kuporomoka kwa maadili ya uongozi nchini.[/COLOR]


- Wakuu BAK, Ogah na wengine ninawasikia sana, lakini so far ninashindwa kwenda past this quote hapo juu na kuuona ukweli wa maneno ya Kitine.
 
Back
Top Bottom