Gee!!! Kwa maana nyingine wewe unaona sawa tu wachukuaji kutuachia 3% ya mapato ya dhahabu yetu na wao kuchukua 97%!!! Inaelekea na wewe ni mooja wa wale walioweka maslahi ya chama mbele badala ya Watanzania!!
Wabunge wengi wa bunge letu wanatoka CCM chama ambacho kiongozi wake ni Kikwete. Watanzania haturidhishwi kabisa na utendaji wa Bunge hilo. Kiongozi wa Serikali wa shughuli za Bungeni ni Waziri Mkuu. Siyo siri kwamba Watanzania haturidhiki na Bunge na Kikwete angweza kabisa kuwaita Spika na Pinda kama kiongozi wa CCM na pia Rais wa nchi ili kuhakikisha utendaji wa Bunge unakidhi matarajio ya Watanzania na siyo kuliburuza buruza Bunge na kuminya uhuru wa wawakilishi wa Wananchi kama anavyofanya Sitta. Amezuia kashfa ya Vitambulisho kujadiliwa Bungeni. Amezuia kashfa ya Kiwira kwa mara nyingine tena kujadiliwa Bungeni. Kikwete angekuwa ameweka maslahi ya nchi mbele angweza kabisa kukemea maamuzi haya ya spika, lakini yuko kimyaaaaaaa kwa maana nyingine anaridhika na utendaji mbovu wa Wabunge na pia Sitta kuminya uhuru wa Wabunge.
Sijui hapa unataka kusema nini!!!
Mwalimu mwenyewe pamoja na kuwa ndiye alimsaidia Mkapa kuwa Rais tayari alikuwa ameshaaza kuhoji maamuzi na sera za Mkapa. Mbona unakurupuka sana!? Hivi hukumbuki ni nani waliotamka kwamba Kikwete ni chaguo la Mungu!? Kwa hiyo kama watu walikuwa wanasimamisha misafara ya Kiwete na sasa kuna kila dalili uongozi wa nchi umemshinda basi watu wanyamaze tu na kuiacha nchi iangamie!!!? Hivi ni kipi hasa unataka kutetea hapa!?😕
Whaaaaaaaat!? Are you in your right mind!!!? 😕
BAK BAK:
Kwanza sipo hapa kutetea JK. Lakini vilevile ni lazima kukubali kuwa watanzania mmeoza katika ngazi zote.
Mwanakijiji amebandika mkataba wa Richmond hapa JF. Nimeusoma na nimeangalia signatories wake. Signatories zaidi ya 11 walianguka saini zao wakiwakilisha Serikali au Tanesco. Na wengi walikuwa katika nafasi zao za kazi kabla JK ajachukua urais.
Sasa mnataka rais awe effective wakati wananchi wote mmeoza.
Ngoja nikupe kipande cha 'Liyumba Revealed' ambacho kwa sababu zako binafsi umeacha ku-copy and paste.
He spent his life serving the Central Bank of Tanzania, building up strong connections within the corridors of power during the last five years of the third phase regime.
He rose and conquered Dar es Salaam, with his quickly generated wealth feeding a lavish lifestyle and an appetite for posh cars.
He broke into the high life nine years ago, after serving the bank for three decades, and he took to his new lifestyle like a fish to water.
His home in Kawe, a suburb of Dar es Salaam, is estimated to be worth about $1m while another home located in Mbezi, whose documents he presented before the court, is worth close to $800,000. This is only what he has chosen to disclose, excluding the fancy cars and other assets he has accrued.
Tales of his personal life - the women, the payoffs - were fodder for the gutter press, but no one dared touch him for fear of repercussions from his strong connections.
....