Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Tunajipendekezaa mno kule Zanzibar!

Naona aibu miye!
Tatizo la wabongo mtu wa kawaida akimwambia ukweli mtu anayeitwa Mheshimiwa basi huwa tunaona kama amemfokea !
Sijasikia neno lolote alilolisema huyo mama ambalo ni la dharau au lisilostahili kuambiwa mtu mwenye cheo !
Wazanzibari hicho ndicho Kiswahili chao hakuna kumung’unya maneno !
Wabongo tubakie na Kudanganyana danganyana tu na Uchawa hata pale inapobidi mtu Mheshimiwa kuambiwa ukweli sisi huwa tunaumauma Maneno kisha tunakwenda kusemea vichochoroni!
Mtu akisema uongo uongo mbele ya Mheshimiwa yeyote yule ajue hamsaidii chochote huyo Mheshimiwa wala haisaidii jamii na Nchi yake pia !

Tubadilike tujifunze kusema ukweli kama wenzetu. !
Wanyamwezi Wanasemaga call spade a spade !!
Beleshi ni beleshi sio kijiko 🙏🙏 !
 
Back
Top Bottom