saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,284
- 6,261
Hao midebwedo? Kitila ana haja gani kukajua hako kawilaya. Wazanzibari hawanaga akili siku zote wanawaza m-Oman arudi ndio ndugu yao
Hao midebwedo? Kitila ana haja gani kukajua hako kawilaya. Wazanzibari hawanaga akili siku zote wanawaza m-Oman arudi ndio ndugu yao
inaitwa aziz kKihasibu hii inaitwaje OKW BOBAN SUNZU
Alichotaka kufanya Prof. Mkumbo kihasibu tunaita Creative Accounting. Unatoa taarifa za fedha za uongo kwa ajili ya malengo mahususi hasa kuonyesha hakuna tatizo. Sasa mama ambaye tunaweza sema ni user wa financial reports ame detect fraudulent presentation amekuwa mbogoKihasibu hii inaitwaje OKW BOBAN SUNZU
Uchaguzi wa 2020 ulituletea wanasiasa wengi wa hovyo sana mojawapo ni Katila Mkumbo
SawaAlichotaka kufanya Prof. Mkumbo kihasibu tunaita Creative Accounting. Unatoa taarifa za fedha za uongo kwa ajili ya malengo mahususi hasa kuonyesha hakuna tatizo. Sasa mama ambaye tunaweza sema ni user wa financial reports ame detect fraudulent presentation amekuwa mbogo
Kitila Mkumbo njoo uyanywe mwenyewe hukuHuyu jamaa Mkumbo ni mmoja ya watu wa hovyo kabisa. Ni wale wanasiasa wanaofanya siasa kwa sababu ya matumbo yao.
Tatizo la wabongo mtu wa kawaida akimwambia ukweli mtu anayeitwa Mheshimiwa basi huwa tunaona kama amemfokea !Tunajipendekezaa mno kule Zanzibar!
Naona aibu miye!
Yuko vizuri sana upstairs !MAma ana akili sana anajua kujenga hoja zake
Kwahiyo kuambiwa ukweli ni kumkosea heshima ??!😂 Kwani uyo mmama hajui kama kitila ni waziri wa Jamuhuri ya muungano wa Tz?
Kitanganyika Tanganyika hatujazoea aya mambo.Kwahiyo kuambiwa ukweli ni kumkosea heshima ??!
😅😅🙏
Ni kweli kabisa kabisa!Kitanganyika Tanganyika hatujazoea aya mambo.
siku zote waheshimwa hawakosei na ukijitia ujuaji ukawakosoa kitakachokukuta usije ukalia na mtu 😁
Cha mpingo !Kakutana na kisiki
Duh 🙄 !wazanzibari kwa hulka zao wanapata tabu sana kuishi na wabara katika nyanja nyingi!
itafikia pahala nguruwe aishi na nguruwe, ngamia aishi na ngamia!