Lawama zote za umeme ziwaendee Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,883
109,212
Bila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lililoshindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.

Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.

Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?

Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".

Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.

Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.

Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.

Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.

Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?

Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?

Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee.
 
Bila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lilishindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.

Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.

Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?

Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".

Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.

Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.

Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.

Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.

Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?

Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?

Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi kama wa Dkt. Gwajima D wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee.
Na alie wateua yeye hapaswi kulaumiwa? huyo Kitila kajiteua mwenyewe?
 
Acheni lawama, mama alishasema mwisho wa umeme kukatika ni mwezi wa tatu...waacheni TANESCO watekeleze majukumu yao halali
 
Bila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lilishindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.

Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.

Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?

Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".

Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.

Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.

Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.

Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.

Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?

Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?

Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi kama wa Dkt. Gwajima D wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee.
chuki binafsi zinachakaza nafsi yako harooo..
 
Tanesco ni kero kubwa sana aisee. Yaani wakati mwingine huwa natamani bora isiwepo tu ili tuwe na option zingine za magenerator na solars. Tanesco wanawapeleka watanzania kwenye umaskini. Watu wengi siku hizi wanategemea umeme kuendesha shughuli zao ili kujipatia kipato, umeme wenyewe ndo huo hauleweki. Naibu Waziri mkui nae ajitafakari, aachane na mbwembwe za hicho cheo akomae na wizara yake day and night tupate umeme wa uhakika sio sisi tuna shida ya umeme alafu tunamuona kwenye tv eti alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya chuo. Yaani sasa hivi huyu Biteko alitakiwa awe serious kwa yeye muda wote kushughulikia umeme tu na si vinginevyo.
 
Ndio ninayosema kila siku kiwango cha upuuzi wa watanzania kinatutosha wenyewe ni watu wakujiandikia upuuzi tu kutoka vichwani kwetu.

Production wise umeme unavyanzo mahususi;; inabidi ueleze kila mkoa uwezo wake wa kuzalisha umeme kwa vyanzo vyake, shared network distribution zake, infrastructure za kuingia (kwa kifupi inataka mjinga mwenzako kuona una, hoja) otherwise the pathetism of what you wrote is beyond a reasonable mind to how things work.

Second Nehemia alishawahi kuwa NED ndani ya TANESCO, based on ‘Corporate Code of Governance’ as a neutral supervisor ulishawahi ona report ya TANESCO kuhusu concerns za; internal control issues, internal audit risk concerns, risk management matters. Hayo mambo yalikuwa sehemu ya majukumu yake kama NED with finance experience.

Tunayoandika yanataka abc kuelewa tunatokea wapi.

Mpaka kukasirika kwa kusoma ujinga; ni kwa sababu tumeshavumilia vya kutosha.

It’s just a shitty country, ambayo hayati Magufuli alikuwa anajaribu kuikombos.

Vinginevyo ukisoma mada ni ujinga mtupu kama huu; mtu anatoa upuuzi tu kutoka kichwani.

I don’t care natwanga tu, I am sick of reading nonsense.
 
Tanesco ni kero kubwa sana aisee. Yaani wakati mwingine huwa natamani bora isiwepo tu ili tuwe na option zingine za magenerator na solars. Tanesco wanawapeleka watanzania kwenye umaskini. Watu wengi siku hizi wanategemea umeme kuendesha shughuli zao ili kujipatia kipato, umeme wenyewe ndo huo hauleweki. Naibu Waziri mkui nae ajitafakari, aachane na mbwembwe za hicho cheo akomae na wizara yake day and night tupate umeme wa uhakika sio sisi tuna shida ya umeme alafu tunamuona kwenye tv eti alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya chuo. Yaani sasa hivi huyu Biteko alitakiwa awe serious kwa yeye muda wote kushughulikia umeme tu na si vinginevyo.
Biteko tutamuonea bure, hana zaidi ya kwenda ku trouble shoot na kufanya mapendekezo.

Wenye dhamana ya mashirikaya umaa ni Mkumbo na Mchechu. Tusihau hilo. Waziri wa Nishtati hana ujanja kwenye mashirika ya umma.
 
Kigoma haikuwa imeunganishwa kwenye gridi ya taifa hadi September 2022.

Mlioko huko tuambieni hali ya upatikanaji wa majenereta umeme ilikuwaje.

Na kama kulikuwa na ufanisi wameletwa kwenye gridi ili iweje?
 
Ndio ninayosema kila siku kiwango cha upuuzi wa watanzania kinatutosha wenyewe ni watu wakujiandikia upuuzi tu kutoka vichwani kwetu.

Production wise umeme unavyanzo mahususi;; inabidi ueleze kila mkoa uwezo wake wa kuzalisha umeme kwa vyanzo vyake, shared network distribution zake, infrastructure za kuingia (kwa kifupi inataka mjinga mwenzako kuona una, hoja) otherwise the pathetism of what you wrote is beyond a reasonable mind to how things work.

Second Nehemia alishawahi kuwa NED ndani ya TANESCO, based on ‘Corporate Code of Governance’ as a neutral supervisor ulishawahi ona report ya TANESCO kuhusu concerns za; internal control issues, internal audit risk concerns, risk management matters. Hayo mambo yalikuwa sehemu ya majukumu yake kama NED with finance experience.

Tunayoandika yanataka abc kuelewa tunatokea wapi.

Mpaka kukasirika kwa kusoma ujinga; ni kwa sababu tumeshavumilia vya kutosha.

It’s just a shitty country, ambayo hayati Magufuli alikuwa anajaribu kuikombos.

Vinginevyo ukisoma mada ni ujinga mtupu kama huu; mtu anatoa upuuzi tu kutoka kichwani.

I don’t care natwanga tu, I am sick of reading nonsense.
Nioneshe nchi moja duniani yenye shirika moja tu la umeme linalofanya production, transmission mpaka distribution lililofanikiwa.

Huwa sikisii.
 
Bila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lilishindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.

Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.

Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?

Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".

Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.

Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.

Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.

Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.

Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?

Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?

Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi kama wa @Dkt. Gwajima D wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee
Wazo lako zuri sana lakini hao uliowagusa hawana cha kufanya na hata wakiwa nacho hakitoleta tija Kwa Tanesco hii unayoisikia chukua hii kitendo cha MANARA kupiga kelele kwenye social media dhidi ya umeme kimepelekea dada mwezio meneja wa mkoa wa Kinondoni kaskazini (MIKOCHENI) kutolewa kwenye nafasi hiyo je? hapa kuna watu makini wa kushughulika na masuala ya umeme wa uhakika au siasa zimewajaa vichwani mwao.

Kila mkoa upo na kiwango cha umeme kinapokea toka gridi ya Taifa ukiachana na Ile isiyokuwa ndani ya gridi(Mtwara, Lindi , KATAVI n.k) hawa wakipewa MW wazibadilishe kuwa pesa itakuwa kituko cha karne Kwa jinsi upotevu wa umeme ulivyokuwa mwingi kwenye njia za usambazaji Kwa uzembe wa watendaji haswa utawala Kwa ngazi zote,Tanesco haina tija ya kugaiwa Kwa mikoa hapa hapatikane Waziri mwenye elements za ukali na ufuatiliaji wa karibu Kwa shughuli zote za shirika ndani ya mwaka shirika litakuwa ruler lile.

Mwenyekiti wa CCM Taifa hamelikabidhi shirika Kwa watu si Sahihi ni mizigo tupu, hawana mipango ya dharura kulitoa katika kero za mgao sugu huu wa nusu mwaka sasa.
 
Back
Top Bottom