dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,402
- 15,982
Kuna video inatembee San ktk mitandao ya kijamii ikisemekena kuwa proof kitila mkumbo amefekokewa vikali huku Zanzibar
Sijajuwa lilikuwa ni kongamano gani limefanyika huko na kumuibuwa waziri huyu wa uwekezaji ,ndipo akatokea mam mmoja akamuambia akae kimya aache kuzunguzma mambo ya Zanzibar Kwamba hayajui vzr Ni vzr akae kimya
Nimesikiaa hyo clipu na nimefurashishwa sna kwa jinsi mkumbo alivyo kutana na mwanamam machachari mwenye kalbar za maalim seif ambae hapepezi maneno
Alisema" Zanzibar Hakuna amani Bali Kuna utulivu tu na uvumilivu"
Mm nimeshindwa kuipandisha hyo video humu ilaa ianzaaga snaa
Ingawa prof Ni mtu makini na anajuwa kujenga hoja na asiye na hofu ila safarii hi kakutana na mwiba mkali
Namuomba prof aache kukurupuka kwa mkumbo Zanzibar Kuna watu hawana aibu
Sijajuwa lilikuwa ni kongamano gani limefanyika huko na kumuibuwa waziri huyu wa uwekezaji ,ndipo akatokea mam mmoja akamuambia akae kimya aache kuzunguzma mambo ya Zanzibar Kwamba hayajui vzr Ni vzr akae kimya
Nimesikiaa hyo clipu na nimefurashishwa sna kwa jinsi mkumbo alivyo kutana na mwanamam machachari mwenye kalbar za maalim seif ambae hapepezi maneno
Alisema" Zanzibar Hakuna amani Bali Kuna utulivu tu na uvumilivu"
Mm nimeshindwa kuipandisha hyo video humu ilaa ianzaaga snaa
Ingawa prof Ni mtu makini na anajuwa kujenga hoja na asiye na hofu ila safarii hi kakutana na mwiba mkali
Namuomba prof aache kukurupuka kwa mkumbo Zanzibar Kuna watu hawana aibu