Kitendo cha Misri kujenga ukuta mwengine upande wake kina maana gani. Wana njama na Israel au ni huruma kwa wapalestina

Misri ya al sisi sio yakuiamini hata sekunde tatu yaani
Hawa Usikute yeye na israhell lao moja hawa wajinga
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu yaaani maana ndio lugha pekee wanayo ielewa magaidi ya kizayuni
Inatia shaka sana.
Hizi juhudi yawezekana kama kwamba anawatayarishia mazingira bora Israel aweze kupiga Rafah na kupunguza lawama kwa Israel kama wakiingia Rafah kwamba hawkuua watu wengi.
Yawezekana siku ikifika kabla ya Ramadhani kuingia Misri atafungua geti watu wajikushaje hapo anapojenga halafu Israel ikiridhika haikupata kitu Misri itawarejesha wapalestina upande wa Gaza.
Misri inasahau kuwa taifa la kiyahudi halina ahadi wala ukweli.Mipango yao yote ni njama.Akishapiga Rafah hataondosha majeshi yake atadhibiti mpaka kama alivyowahi kusema Netanyahu na kitendo hicho itakuwa imewafungia wapalestina wote na kuwa chini ya amri zake.
Israel kwa kutumia pesa kutoka Marekani itaanza kujenga makuta na seng'enge kuwatenganisha wapalestina kama inavyofanya kule ukingo wa Magharibi.
 
Inatia shaka sana.
Hizi juhudi yawezekana kama kwamba anawatayarishia mazingira bora Israel aweze kupiga Rafah na kupunguza lawama kwa Israel kama wakiingia Rafah kwamba hawkuua watu wengi.
Yawezekana siku ikifika kabla ya Ramadhani kuingia Misri atafungua geti watu wajikushaje hapo anapojenga halafu Israel ikiridhika haikupata kitu Misri itawarejesha wapalestina upande wa Gaza.
Misri inasahau kuwa taifa la kiyahudi halina ahadi wala ukweli.Mipango yao yote ni njama.Akishapiga Rafah hataondosha majeshi yake atadhibiti mpaka kama alivyowahi kusema Netanyahu na kitendo hicho itakuwa imewafungia wapalestina wote na kuwa chini ya amri zake.
Israel kwa kutumia pesa kutoka Marekani itaanza kujenga makuta na seng'enge kuwatenganisha wapalestina kama inavyofanya kule ukingo wa Magharibi.
Misri na Mahmoud abbas ni janga kubwa kwa Wapalestina bila ya kumsahau Abdallah wa Jordan
Ila ushindi utapatikana tu na hamas atasaini makubaliano anayoyataka yeye tuzidi kuwaombea wapalestine
 
Hilo si uongo .Kwani huu ni mwezi wa ngapi.Katika historia ya Israel haijawahi kupigana vita virefu kama hivi.
Na wanapigana na nani sasa?.Kikundi kilichozingirwa kwa miaka kadhaa na kisichokuwa na silaha za kisasa na zaidi wamewazuilia chakula na kila kitu.
Historia mwaka huu itaandikwa kinyume nyume.
Hii siyo Vita ustadhi
 
Hivi karibuni Benjamin Netanyahu alisikika akisema anataka jeshi lake liingie Rafah na kufanikisha mpango wake wa kuwamaliza Hamas kabla mwezi mktukufu wa Ramadhani haujaingia hapo Machi 10.
Baada ya kitisho hicho Misri imekuwa ikitishia kuvunja mkataba wa camp david baina yake na Israel.Hata hivyo kitendo cha kupeleka jeshi kujenga ukuta mwengine ndani ya upande wake pembezoni mwa jangwa la Sinai kunaweza kukazusha wasi wasi juu ya nia yake hasa.
Jee ujenzi huo ni kambi nyengine kwa ajili ya watu wa Gaza au ni kwa ajili ya kambi ya jeshi lake kulinda mpaka huo.
Na jee kitendo cha Israel kusitisha kwa muda zoezi la kuingia Gaza kwa kutumia vikosi vya ardhini wamesikia nasaha za walimwengu kwamba kutasababisha madhara makubwa bila kutoa tija au ni kusubiri ujenzi huo unaofanywa na Misri ukamilike.
Wasi wasi huo umekuja baada ya picha za satelite kuona ukuta mkubwa ukijengwa takriban maili mbili upande wa Misri kutoka ukuta mwengine iliyojenga hapo awali wenye seng'enge juu yake.
Gaza si eneo la Israel na linakaliwa na watu wenye uhusiano mkubwa na Misri.Kilichotarajiwa kufanywa na Misri ili kuwalinda na kuwasaidia watu wa Gaza na kuingiza jeshi lake upande wa pili ndani ya Gaza ili kuzuia israel isifike hapo katika kuwawinda kwao Hamas.

1708156536944.png


Mkuu Alwaz: Unajua ugomvi wa baridi kati Ya Wapelestina na Egypt ? Kumbuka Gaza imekuwa chini ya Egypt kutoka 1948 to 1956, na 1957 Hadi 1967, na kumbuka pia resolution 181 ya UN iliyounda Two States (Arab state (Palestina baadaye Na Israel) Gaza ilikuwa Upande wa Waarabu, Egypt illipoteza Gaza iliposhindwa vita 1967, Baada ya Mapatano ya Egpty na Israel, ambayo sana sana Egpty walitaka warudishiwe Sinai Peninsular, Israel iliwarudishia na Gaza pia! Egypt ilikataa katu katu, kuwa hawaitaki Gaza....Israel ikaikalia hadi walipowarudishia Wapelestina August 2005, na walipofanya uchaguzi PA ikashindwa kwa Hamas.

Licha ya mambo mengi, kwa nini Egypt haiitaki Hamas, sababu kubwa Ideology ya Hamas ni copy na paste ya Moslem Brotherhood, Mohammed Yasin mwanzilishi wa Hamas alichukua ideology hiyo alipokuwa akisoma/akiishi Egpty, na kama unajua historia ya Egypt, misimamo hiyo haikubaliki, imekuwa ni shina la matatizo.

Pia usisahau kuwa nchi zote za kiarabu zinajua ADHA ya kuwakaribisha Wapelestina! Jordan iliwafukuza kabisa huko 1970-1971 na kwenda kuweka makao yao Tunisia, Kuwait pia baada ya vita vya Ghuba, Leo Lebanon ni kama failed state baada ya Wapelestina kuweka kambi huko! In short Waarabu wote wanajua ukiwakaribisha Wapelestina umekaribisha shida!
Nchi za Kiarabu pekee, kwa pesa ilizo nazo, wangeweza kabisa kuwasaidia Wapelestina! Wengi hawajui baadhi ya Waarabu wanaona Wapelestina kama Waarabu koko!

Kiongozi Mkubwa wa PLO aliwahi kabisa kusema hakuna taifa, au watu wanaoitwa Wapelestina, hii hapa nukuu yake...

  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
Quote: Zuheir Mohsen: Senior PLO Leader.
 
View attachment 2906653

Mkuu Alwaz: Unajua ugomvi wa baridi kati Ya Wapelestina na Egypt ? Kumbuka Gaza imekuwa chini ya Egypt kutoka 1948 to 1956, na 1957 Hadi 1967, na kumbuka pia resolution 181 ya UN iliyounda Two States (Arab state (Palestina baadaye Na Israel) Gaza ilikuwa Upande wa Waarabu, Egypt illipoteza Gaza iliposhindwa vita 1967, Baada ya Mapatano ya Egpty na Israel, ambayo sana sana Egpty walitaka warudishiwe Sinai Peninsular, Israel iliwarudishia na Gaza pia! Egypt ilikataa katu katu, kuwa hawaitaki Gaza....Israel ikaikalia hadi walipowarudishia Wapelestina August 2005, na walipofanya uchaguzi PA ikashindwa kwa Hamas.

Licha ya mambo mengi, kwa nini Egypt haiitaki Hamas, sababu kubwa Ideology ya Hamas ni copy na paste ya Moslem Brotherhood, Mohammed Yasin mwanzilishi wa Hamas alichukua ideology hiyo alipokuwa akisoma/akiishi Egpty, na kama unajua historia ya Egypt, misimamo hiyo haikubaliki, imekuwa ni shina la matatizo.

Pia usisahau kuwa nchi zote za kiarabu zinajua ADHA ya kuwakaribisha Wapelestina! Jordan iliwafukuza kabisa huko 1970-1971 na kwenda kuweka makao yao Tunisia, Kuwait pia baada ya vita vya Ghuba, Leo Lebanon ni kama failed state baada ya Wapelestina kuweka kambi huko! In short Waarabu wote wanajua ukiwakaribisha Wapelestina umekaribisha shida!
Nchi za Kiarabu pekee, kwa pesa ilizo nazo, wangeweza kabisa kuwasaidia Wapelestina! Wengi hawajui baadhi ya Waarabu wanaona Wapelestina kama Waarabu koko!

Kiongozi Mkubwa wa PLO aliwahi kabisa kusema hakuna taifa, au watu wanaoitwa Wapelestina, hii hapa nukuu yake...

  • The Palestinian people do not exist. There are no differences between Jordanians, Palestinians, Syrians and Lebanese. We are part of one people, the Arab nation. Lo and behold, I have relatives with Palestinian, Lebanese, Jordanian and Syrian citizenship. We are one people. It is only for political reasons that we carefully endorse our Palestinian identity. Indeed, it is of national interest for the Arabs to encourage the existence of the Palestinians in the face of Zionism. Yes, the existence of a separate Palestinian identity is only for tactical reasons. The establishment of a Palestinian state is a new means to continue the struggle against Israel and for Arab unity.
Quote: Zuheir Mohsen: Senior PLO Leader.

Kumbuka Egypt imeikalia Gaza toka 1948 hadi ilipoipoteza 1967, miaka 19, hii huwa haizungumzwi kabisa na Wanaharakati wa Kiarabu hata Wapelestina! Waarabu wanajua wazi hakuna taifa ambalo limewahi kuwepo likiitwa Wapelestina! Waarabu waliokuwa wakiishi hapo kipindi cha Ottoman Empire walikuwa ni wanajulikana kama Waarabu tu! Na walikuwa Wametoka mataifa mbali mbali ya Waarabu......Wanaodai Israel imetengenezwa na Waingereza 1948, wanasahau mataifa yaliyotengezwa na Waingereza baada kuanguka Ottoman Empire! Jordan. Lebanon, Iraq zote in real sense zilitengezwa na Muingereza baada kuiondoa Ottoman Empire.
 
Hilo si uongo .Kwani huu ni mwezi wa ngapi.Katika historia ya Israel haijawahi kupigana vita virefu kama hivi.
Na wanapigana na nani sasa?.Kikundi kilichozingirwa kwa miaka kadhaa na kisichokuwa na silaha za kisasa na zaidi wamewazuilia chakula na kila kitu.
Historia mwaka huu itaandikwa kinyume nyume.
Andaa kichwa cha habari kabisa, maana kuna lingine linakuja huko.
 
Andaa kichwa cha habari kabisa, maana kuna lingine linajuja huko.
Vichwa vya habari vipo vingi tu.
Kimoja kitahusu jinsi Hamas watakavyopiga mgongoni mwa IDF kutokea kaskazini ya Gaza siku wakielekea Rafah na vifaru vyao.Hizo ndio zitakuwa siku mbaya zaidi katika historia ya jeshi la Israel.HAMAS WAWAZINGIRA IDF RAFAH
 
Vichwa vya habari vipo vingi tu.
Kimoja kitahusu jinsi Hamas watakavyopiga mgongoni mwa IDF kutokea kaskazini ya Gaza siku wakielekea Rafah na vifaru vyao.Hizo ndio zitakuwa siku mbaya zaidi katika historia ya jeshi la Israel.HAMAS WAWAZINGIRA IDF RAFAH
Umesema mwenyewe kuwa hao wanaokuja kushambulia kutoka Kaskazini ni HAMAS, halafu wakidundwa na kuuawa ghafla tu wanageuka kuwa wanawake, waandishi wa habari, wafanyakazi wa UN, wagonjwa, wazee na watoto.
 
si unaona aina ya watu wa Gaza waliopo sasa.Ni vijana wadogo kama hao.Inaonekana Israel ina kampeni kama za Firauni kuwamaliza lakini hawataweza.Hao wote wakikua watalipiza kisasi kwa wanachokishuhudia sasa.
Screenshot_20240214-180504_Quora.jpg

Wameavhiwa hao madem ndiyo wapambane nao.

Screenshot_20240213-082608_Quora.jpg

Mtoto yuleyule ameokolewa na watu watatu yofautu, sehemu tofauti, siku tofauti.
 
si unaona aina ya watu wa Gaza waliopo sasa.Ni vijana wadogo kama hao.Inaonekana Israel ina kampeni kama za Firauni kuwamaliza lakini hawataweza.Hao wote wakikua watalipiza kisasi kwa wanachokishuhudia sasa.

Mwenye macho haambiiwi ona....Bado Rafah...! South Africa imekwenda tena Hague kuomba Rafah isivamiwe, maombi yametupiliwa mbali.....Egypt iweka kibano......haitaki kabisa yaliyowakuta Lebaneno na Tunisia na hata Kuwait....

1708168475206.png
 
View attachment 2906910
Wameavhiwa hao madem ndiyo wapambane nao.

View attachment 2906911
Mtoto yuleyule ameokolewa na watu watatu yofautu, sehemu tofauti, siku tofauti.

Alwaz haelewi kabisa......Nilicheka mno....Bado yujo jamaa mwingine, nikipata clps zake nitakutumia.....kila siku ni majeruhi....Leo Kichwa....Kesho mkono wa kulia, kesho wa kushoto......ni kama movie ya kihindi!
 
Utaua wangapi kwa dhana kama hizo
Israel ikubali kuwa haiwezi kuwashinda Hamas basi.
Hiyo mbinu ya kupiga kila mtu kwa kumdhania Hamas ni ukatili mbaya
Kama ni uvunjaji wa kanuni za vita Israel imefanya kuliko Hamas.imeshaua mpaka raia zake wenyewe walioshika bendera nyeupe.
Hayo waliyoyaona ya kutowajua Hamas waone kama ni changamoto ya vita vya Gaza ambayo hawakuitarajia.
 
Back
Top Bottom