Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,129
- 4,285
Muda wa kampeni ukafika. Kampeni ilianza kati ya Trump na Rais Joe Biden. Mdahalo wa kwanza ukaandaliwa kati ya Trump na Biden. Biden akafanya vibaya pamoja na kuibiwa maswali ya mdahalo kabla.
Ikumbukwe Establishment ya Democrats akina Obama, Schumer na vigogo wengi hawakumtaka Biden Toka Mwanzo lakini walishindwa kumwambia kwa kuwa Yuko madarakani.
Baada ya mdahalo wakajilipua kumtoa kwa nguvu.
Biden akamind sana. Alijua Makamu wake Haris Kamala naye anampinga kwa Siri huku anajua uwezo wake ni Mdogo.
Biden bila kufuata utaratibu Wala kuandaa Chama chake akajiuzulu na kumtangaza Makamu wake kuwa Mgombea wa Democrats kwa ghafla. Muda wa kurudi kwenye mchakato ulikuwa umeshaisha. Rais Biden hakumuunga mkono Makamu wake. Akaanza kutoa kauli tata za kuharibu kampeni za Chama chake kilichomtoa yeye. Trump akashinda kwa kishindo movie ikaishia hapo.
Wakati ikiwa jioni CCM wanataka Mgombea urais mwingine. Rais Samia akikaa pembeni na kusimamia haki bin haki Kama Biden alivyofanya itakuwaje?
Kwa Maoni yako ni Chama gani kitashinda?
Kitendawili ......Tega........
Ikumbukwe Establishment ya Democrats akina Obama, Schumer na vigogo wengi hawakumtaka Biden Toka Mwanzo lakini walishindwa kumwambia kwa kuwa Yuko madarakani.
Baada ya mdahalo wakajilipua kumtoa kwa nguvu.
Biden akamind sana. Alijua Makamu wake Haris Kamala naye anampinga kwa Siri huku anajua uwezo wake ni Mdogo.
Biden bila kufuata utaratibu Wala kuandaa Chama chake akajiuzulu na kumtangaza Makamu wake kuwa Mgombea wa Democrats kwa ghafla. Muda wa kurudi kwenye mchakato ulikuwa umeshaisha. Rais Biden hakumuunga mkono Makamu wake. Akaanza kutoa kauli tata za kuharibu kampeni za Chama chake kilichomtoa yeye. Trump akashinda kwa kishindo movie ikaishia hapo.
Wakati ikiwa jioni CCM wanataka Mgombea urais mwingine. Rais Samia akikaa pembeni na kusimamia haki bin haki Kama Biden alivyofanya itakuwaje?
Kwa Maoni yako ni Chama gani kitashinda?
Kitendawili ......Tega........