Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,265
- Thread starter
- #101
Huu ujanja wa kutaka kuwaongeza Wpagani katika Tanzania hauwezi kusaidia kitu kwa kuwa hawapo.
Kwa kweli ukitaka tuwe na mjadala mzuri ni lazima kwanza usome kitabu ujilete katika hali ya kujua.
Vinginevyo itakuwa tunazungushana humo kwa humo na hii haina tija.
Kwa kweli ukitaka tuwe na mjadala mzuri ni lazima kwanza usome kitabu ujilete katika hali ya kujua.
Vinginevyo itakuwa tunazungushana humo kwa humo na hii haina tija.