Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,264
- Thread starter
- #141
Naomba kidogo nikuelekeze namna ya uandishi mzuri kwani nathamini juhudi zako.
Unapotumia nukta kutenganisha maneno nukta zinakuwa tatu tu kama hivi...
Nadhani unajua kuwa ukitumia herufi kubwa tupu ni kuwa unapiga kelele.
Tumalize na matumizi ya lugha...usichanganye lugha Kiswahili na Kiingereza
labda kwa neno moja au mawili kwa nia kuazima na lazima uziwekee
"inverted comas."
Wajua kuwa unaweza kujulikana jinsi ulivyo yaani tabia yako kutokana na lugha
yako unavyoandika?
Ukisoma madras kuna somo linafunzwa linaitwa adabu ya elimu.
Ungependa nilisomeshe hapa ukumbini kwa faida ya wanaukumbi?
Hii ni elimu ya bure. Haitozwi.
Taratibu tutafika.
Unapotumia nukta kutenganisha maneno nukta zinakuwa tatu tu kama hivi...
Nadhani unajua kuwa ukitumia herufi kubwa tupu ni kuwa unapiga kelele.
Tumalize na matumizi ya lugha...usichanganye lugha Kiswahili na Kiingereza
labda kwa neno moja au mawili kwa nia kuazima na lazima uziwekee
"inverted comas."
Wajua kuwa unaweza kujulikana jinsi ulivyo yaani tabia yako kutokana na lugha
yako unavyoandika?
Ukisoma madras kuna somo linafunzwa linaitwa adabu ya elimu.
Ungependa nilisomeshe hapa ukumbini kwa faida ya wanaukumbi?
Hii ni elimu ya bure. Haitozwi.
Taratibu tutafika.