FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Kwa hiyo kama la mwaka 2011 sio lako?Kwa kadri ambavyo hunielezi maana ya hilo neno na kunisisitizia niulize watu au ni Google, ndivyo ninavyoogopa kulitafuta, siulizi mtu na wala si google!, maana kuna maneno mengine ni ya kishetani yana majini ndani yake, ile umegoogle tuu!, mara pap!, unalo!.
Siwezi kabisa kuwasahau watu wa DTV, walioni transforms kutoka mtangazaji wa redio kuwa mtangazaji wa TV. Watu wa DTV niliowasahau ni Hamid Abrahaman, Baba Dodi, Anwar Said na Agustino Mganga. Betty Mkwasa, Ahmed Kipozi na Karim Besta ndio waliita kutoka RTD kuja DTV na kupokelewa na Godfrey Mngodo.
Naona unaleta janja ya Mwanameka kujipitisha pitisha kwa Musa, akenda sokoni lazima apite kwa Musa, akenda dukani kwa Musa, Musa macho yake yameona na moyo ukaanza soneneka, Musa amevumilia mwisho kupotea njia, kakukismamisha bila kutambua akazungumza neno la ...
Hili ni bandiko la 2011, hayo niliyarleza 2011, iweje unayaulizia leo 2023?.
P
Unajifanya umemsahau mjanja wako wa dtv? Marehem EK.