Hahahaha.. Mkuu ukisema ufatilie mambo ya hii nchi unaweza ugua kichaa.Sijui ya lini?
Ila hiyo serikali imeona wake wawili ndio changamoto kubwa kwa wananchi wake au?
Ahsante kwa kunijuza.Ile siku Mexence melo anahukumiwa na mahakama ya kisutu