Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Wamekisikia mkuu ila siku nyingine wakileta visilani vyao vaa miwani ya jua tinted endelea na mambo yako.
 
Pia muda mwingine menopause inachangia, na at 30's kwa wengine ndo dalili zinaanza kujitokeza....hata kama kaolewa anaweza kuwa kisirani hatari....!

Menopause at 30's are you seriuos??
 
Anza kusoma upya post yake then huwezi kuja tena na maswali ya kitoto.

Naona simple arithmetic ilikushinda ukiwa na miaka 15. Kwa mvi hizo ndio ntolee tena, ntapigia mbuzi tarumbeta tu.
 
0-10 1st dec, 11-20 2nd dec, 21-30 3rd dec, 31-40 4th dec. Sasa kama ndo anakaribia muongo wa 4 kwa nini asiwe kwenye late 20's?

Ok.. hapo sawa, basi alitakiwa kusema kuwa anamalizia muongo wa nne...
 
0-10 1st dec, 11-20 2nd dec, 21-30 3rd dec, 31-40 4th dec. Sasa kama ndo anakaribia muongo wa 4 kwa nini asiwe kwenye late 20's?
Matola nadhani sio kosa lako. Majukumu na wanawake wanatufanya tushindwe kufanya reasoning ndogondogo kama hizi. Sorry buddy..!

Anyways, thanx Sanji..labda watakuelewa. Wenfine tuna damu za kenge
 
Last edited by a moderator:
jaman wanawake tuna tabu.......
so kama hajazaa akinuna kisa ni hana mtt
kama hajaolewa akinuna kisa ni hana mume
sasa kama kaolewa na ana mtt akinuna kisa huwa ni nini?

mbona vitu vingine ni tabia tu na wala havina uhusiano na status za watu?
True that..
 
Matola nadhani sio kosa lako. Majukumu na wanawake wanatufanya tushindwe kufanya reasoning ndogondogo kama hizi. Sorry buddy..!

Anyways, thanx Sanji..labda watakuelewa. Wenfine tuna damu za kenge

Huu ndio unaitwa utoto wewe unawaza wanawake unadhani kila mmoja akiamka anaanza kukuna uboro na tumbo, mimi nikiamka nakuna kichwa na mikono.
 
Last edited by a moderator:
Matola nadhani sio kosa lako. Majukumu na wanawake wanatufanya tushindwe kufanya reasoning ndogondogo kama hizi. Sorry buddy..! Anyways, thanx Sanji..labda watakuelewa. Wenfine tuna damu za kenge
Pamoja kaka,hakuna kitu kinachotushinda sana sisi watu wa dunia ya 3 kama logical thinking and reasoning. Na rule ya 1 ni kutokudharau wazo lisilo lako bali yakupasa kulitafakari kabla ya kuhitimisha, kama nilazima.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom