mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 326
Habari zenu wakuu.
natumai mtakuwa mnaendelea vyema na majukumu ya kulipeleka mbele gurudumu la Tanzania.
Kuna hiki kitu huwa najiuliza lakini sipati jibu, hivi kwanini wadada ambao wana 30 na kuendelea wanakuwa visirani sana, unakuta dada ananuna bila ya sababu muda wote, maana hata kazi haziendi, ukimuambia hivi kosa, ukimuambia vile kosa. Mtu unabaki unajiuliza me ndio niliokufanya usiolewe au nilikutia mikosi.
Basi sawa hata kama ndio mna stress zenu, msije nazo mpaka sehemu za kazi mziache nyumbani kwenu.
Kitu kingine ambacho kinashangaza, nyie huwa mnasema "kuolewa ni bahati", sasa mpaka umri uliokuwa nao kwanini usikubali matokeo kuwa hauna bahati ya kuolewa, kina dada msifanye hivyo bhana kama umeamua kuja kazini njoo stress zenu kwenu.
Natumai wahusika mtakuwa mmeupokea ujumbe na kuufanyia kazi, mnatukwaza wenzenu bana, wengine hatupendi kuona mwanamke ananuna hana furaha.
Ni hayo tu.
natumai mtakuwa mnaendelea vyema na majukumu ya kulipeleka mbele gurudumu la Tanzania.
Kuna hiki kitu huwa najiuliza lakini sipati jibu, hivi kwanini wadada ambao wana 30 na kuendelea wanakuwa visirani sana, unakuta dada ananuna bila ya sababu muda wote, maana hata kazi haziendi, ukimuambia hivi kosa, ukimuambia vile kosa. Mtu unabaki unajiuliza me ndio niliokufanya usiolewe au nilikutia mikosi.
Basi sawa hata kama ndio mna stress zenu, msije nazo mpaka sehemu za kazi mziache nyumbani kwenu.
Kitu kingine ambacho kinashangaza, nyie huwa mnasema "kuolewa ni bahati", sasa mpaka umri uliokuwa nao kwanini usikubali matokeo kuwa hauna bahati ya kuolewa, kina dada msifanye hivyo bhana kama umeamua kuja kazini njoo stress zenu kwenu.
Natumai wahusika mtakuwa mmeupokea ujumbe na kuufanyia kazi, mnatukwaza wenzenu bana, wengine hatupendi kuona mwanamke ananuna hana furaha.
Ni hayo tu.