Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Huu ndio unaitwa utoto wewe unawaza wanawake unadhani kila mmoja akiamka anaanza kukuna uboro na tumbo, mimi nikiamka nakuna kichwa na mikono.

Mimi nawaza wanawake 24/7. Sasa wewe na mvi zako damu ishakuwa ya kenge tayari...!
Lakini sio kosa lako, kubishana na katoto ka 24yrs.
 
Mimi nawaza wanawake 24/7. Sasa wewe na mvi zako damu ishakuwa ya kenge tayari...!
Lakini sio kosa lako, kubishana na katoto ka 24yrs.

Umeshinda wewe labda kama unahitaji kombe na zawadi sema nikukabidhi good boy.
 
Umeshinda wewe labda kama unahitaji kombe na zawadi sema nikukabidhi good boy.

Nikifikiri wenye mvi tunabishana kistaarabu kumbe mzee mzima hovyo tu.
Good day!!!
 
Ha!kumbe nawe hujui muongo m1 ni sawa na miaka mingapi?Ok muongo m1 ni sawa na miaka kumi,so huyo @gs kasema anakaribia miongo minne= 38+

Sibishani na vilaza waliokimbia umande wa darasa la tano...FUTSEKE...
 
=40
Muongo wa nne unaanzia kwenye 30 au 40?

gfsonwin huyu mwanafunzi wako endelea naye.

Hata wewe mkuu... Nijuavyo muongo mmoja una 10yrs, kama anakaribia kuanza wa nne it.means ana miongo mitatu = 30+...
buddie, niliposema ninakaribia kuanza muongo wa 4 i meant am close to my 40,s
sasa let go back to arithmetic is 40 inclusive ama exclusive unapoanza muongo wa 4??
11-20, 21-30,31-40, 41-50 sasa hapa ndipo penye utata wa swali come back mnipe majibu
 
Matola kile kijiwe chetu cha pale double cabin TMK na pale kwa Mudi muuza juis ya miwa kwa Mtogole yabidi uvihame.
yani utafikiri mchimbia nguzo wa Tanesco.



Huu ndio unaitwa utoto wewe unawaza wanawake unadhani kila mmoja akiamka anaanza kukuna uboro na tumbo, mimi nikiamka nakuna kichwa na mikono.
 
Last edited by a moderator:
buddie, niliposema ninakaribia kuanza muongo wa 4 i meant am close to my 40,s
sasa let go back to arithmetic is 40 inclusive ama exclusive unapoanza muongo wa 4??
11-20, 21-30,31-40, 41-50 sasa hapa ndipo penye utata wa swali come back mnipe majibu
What about 0-10, isn't that a decade?
0-10 1st, 11-20 2nd, 21-30 3rd decade...4th decade from 31-40..
Unahitimisha miongo minne...unakaribia kuanza wa tano..
 
What about 0-10, isn't that a decade?
0-10 1st, 11-20 2nd, 21-30 3rd decade...4th decade from 31-40..
Unahitimisha miongo minne...unakaribia kuanza wa tano..
mweeeh basi niwien radhi eti sijui mkwann niliskip huo wa 0-10
mweeh uzee taayari wallah
 
Huo umri kimbia mbali san wana visirani mfanoe hakuna, ukimsalimia tu siku ya pili anaanza kukusumbua kukutaka ukajitambulishe kwao (wazazi) na kukuuliza harusi lini, ni majanga.
Imefikia hatua mpaka unaongopa kujenga nao urafiki ukienda tofauti na matakwa yake/yao ameshanuna.
 
We mleta mada unaonekana bado hamnazo kichwani kwa haya uliyoyasema. Kwanza inabidi utambue kuwa siyo kila mtu ameweka kipaumbele kwenye kuolewa. Binafsi nahisi huyo mdada unayempiga majungu ni mchapa kazi na hapendi lazy people of which you are one of them. Pia inabidi ujitambue, usione una mtu kudhani anakupenda kumbe mwenzio anakutumia tu, mjini hapa. Usikute wewe uliyeolewa ndiye una matatizo zaidi katika mapenzi.
 
buddie, niliposema ninakaribia kuanza muongo wa 4 i meant am close to my 40,s
sasa let go back to arithmetic is 40 inclusive ama exclusive unapoanza muongo wa 4??
11-20, 21-30,31-40, 41-50 sasa hapa ndipo penye utata wa swali come back mnipe majibu

kwa nini hii inaitwa karne ya 21 wakati huu ni mwaka 2014 ikiwa karne ni miaka 100?
halafu hivi wewe kazi yako rasmi ni mwalimu? nauliza tu kwa wema dada yangu.
 
kwa nini hii inaitwa karne ya 21 wakati huu ni mwaka 2014 ikiwa karne ni miaka 100?
halafu hivi wewe kazi yako rasmi ni mwalimu? nauliza tu kwa wema dada yangu.

Hili somo la kalenda huliwezi acha kujifanya kujuwajuwa, si kila mtu anafuata Gregorian calenda.
 
hahahahhaaaaaaaa

umeamua kuniingia kwa jina lingine kule pm maana hata kusomeka halisomeki, kuona halioneki na kukariri halikaririki yaani ni shidaaaaaaaa
Mmmh...wewe mtawa bwana..ya wakubwa unasubiri ndoa!!!
 
hahahahhaaaaaaaa
umeamua kuniingia kwa jina lingine kule pm maana hata kusomeka halisomeki, kuona halioneki na kukariri halikaririki yaani ni shidaaaaaaaa
Naona sasa tunavunjiana heshima bidada..!
Nimekujia PM na ID nyingine? Kwa lipi hasa?
..Naomba ufute kauli yako tafadhali..!
 
jamani best mbona hunajibu hivyo ongea nae vizuri ameshakuelewa
Huu ndio unaitwa utoto wewe unawaza wanawake unadhani kila mmoja akiamka anaanza kukuna uboro na tumbo, mimi nikiamka nakuna kichwa na mikono.
 
Back
Top Bottom