Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
Kunawengine stress zao wanazileta apa mmu
Kweli kabisa...
Kunawengine stress zao wanazileta apa mmu
Ndo mana nakutaka wewe baby usiye na tabia za kishenzi...
I love you nataka nikuoe tumboo...
come on baby
Heeeee makubwa ayaa
I love you tumboo
Aya nashukuru kwakunipenda
Na wengine tabia yetu nikusema ukweli tu, anayesikia kichefuchefu na anywe chupa moja ya vinegar.
Naomba nikuoe basii
Hahaaaaa we ucnfurahishe ata mtoto wa chekechea atongozwi ivyoo......bt ucjar tupo pamoja
hivi kwani wanawake hawawezi kuishi bila wanaume?
Ha ha ha tumboo nakupenda babyy
Ha ha ha tumboo nakupenda babyy
Heeee mbona unanshangazaa
mhm!!!! umeshawahi kuwa mwalimu wa waalimu?
Mmmh..mwalimu wa waalimu? Wanafundishia wapi hao waalimu wa waalimu?
ila kweli jamani nna mam angu mdodo ana38 hana mtoto han ndoa jamani utamuonea huruma anastress,vitu vidogo vidogo kwake bonge la ishu
uyamuonea huruma hata mchumba hana
wanafundisha vyuoni kwani huwajui au unanitega sio?
aliyekufundisha nursery school anaitwa nani? kama sio teacher?
Ha ha ha tumboo nakupenda babyy
Sijasoma nursery....enzi zetu hazikuwepo