Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

.....above 30's kazi mnayo dah..
hii thread sijui ni ya ngapi
wahenga wanasema lisemwalo lipo........teh teh
 
hana kasoro kubwa zilizopo za kibinadamu
inafika mda anajitolea hadi mahari but anashindwa kuolewa

Maskini ya Mungu.....uhenda alicheza mpaka akajisahau when she was hot, ila Mungu ana miujiza yake uhenda akapata mtu tena wa ukweli mkashangaa. msalimie, mwambie Matumbo anamsalimu sana.
 
Maskini ya Mungu.....uhenda alicheza mpaka akajisahau when she was hot, ila Mungu ana miujiza yake uhenda akapata mtu tena wa ukweli mkashangaa. msalimie, mwambie Matumbo anamsalimu sana.

salamu atazipata
utotoni alikua mtulivu sana ila hana bahati
kashabadili dini karibu mara nne ili aolewe ila waapi
hadi tunamuonea huruma
 
1st AID

1st Aid umenifurahishaje leo. Yaaani nimekupenda bureeee bila chenga..wherever u r Big up sana bebito
 
Last edited by a moderator:
mutant gene


Nna wasi wasi na umri wako. Au umefanya karesearch kako kwa dada yako ukaja tu kuleta hoja. THINK TWICE
 
Last edited by a moderator:
jaman wanawake tuna tabu.......
so kama hajazaa akinuna kisa ni hana mtt
kama hajaolewa akinuna kisa ni hana mume
sasa kama kaolewa na ana mtt akinuna kisa huwa ni nini?

mbona vitu vingine ni tabia tu na wala havina uhusiano na status za watu?

Anakuwa hagongwi vizuri na mumewe... si unajua mumewe kitombi sana ana wanawake wengi, au ana kitambi na kisukari.
 
Back
Top Bottom