Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

umeona eeh! na hawawezi jua labda wao ndo huwa wanasababisha mdada kuwa hivyo kutokana na kauli zao kama hizo...MTUWACHE MIAKA BILIONI!!!!!
jaman wanawake tuna tabu.......
so kama hajazaa akinuna kisa ni hana mtt
kama hajaolewa akinuna kisa ni hana mume
sasa kama kaolewa na ana mtt akinuna kisa huwa ni nini?

mbona vitu vingine ni tabia tu na wala havina uhusiano na status za watu?
 
Inaelekea wewe ni mkubwa sana kwa sasa una miaka mingapi?
Je unao watoto waliosoma nursery school?
miaka tuliyosoma sisi hakukuwa na nursery schools. Nilianza darasa la kwanza nikiwa na miaka kumi.
 
Inaelekea wewe ni mkubwa sana kwa sasa una miaka mingapi?
Je unao watoto waliosoma nursery school?
Bestito,haya maswali ni very sensitive kuulizwa sebleni...
Kwani wewe una miaka mingapi? Umeolewa?
 
TATIZO HUTAKI KUINGIA 😛eep: NDO MAANA NAKUULIZA HAPA HAPA:A S-eek:

MM NIKO ABOVE 70 HIVI
Bestito,haya maswali ni very sensitive kuulizwa sebleni...
Kwani wewe una miaka mingapi? Umeolewa?
 
Kama wanawake wenye 30's bila ndoa kusakamwa wamesakamwa MMU mpaka wamekaribia kukata tamaa. Nadhani tunacho jaribu kukijenga sasa ni hawa 20's kuwa watumwa wa ndoa bila hiyari!

Yaani binti wa 20's sasa hivi ni kuahidiwa ndoa tu kwisha habari yake, maana akichengana na matakwa ya mwanaume katika umri huo basi ajiandae kusakamwa at the age of 30's ndio picha iliyopo. Ila ni kweli kwamba ukivuka 30 huwezi kuolewa na unakuwa umechelewa sana? Ndoa zinaongozwa na life span?

Hi taasisi ya ndoa ina maana gani zaidi ya kuridhishana kingono na kuzaa? Maadili kwa jamii yanachangiwaje na ndoa? Hivi umri anuai wa ndoa ni upi? Migogoro ya ndoa inaangalia umri? Jamii inachangia nini katika saikolojia ya binadamu na jinsia.

Kuna factor nyingi sana ambazo hazifanani katika mahusiano ya mtu na mtu zaidi ya umri, kwanza malengo ya ndoa yenu ni yapi? Zaidi ya sheria kufafanua wewe mwenyewe unaionaje ndoa. Inabidi kujifikirisha zaidi kuliko kuwabeza wasio kwenye ndoa.

Wanaume wangapi hawako kwenye ndoa na wana umri mkubwa sana, wao jamii inawaonaje? Au inawasakama vipi? Tusaidiane kuyaishi maisha katika upendo kuliko kutegemea ufahamu wetu finyu wa kibinadamu.

Mtu hata awe na 18 year na akaolewa bila mapenzi ya Mungu hakuna ndoa imara hapo, na waweza olewa au kuoa na more than 30 namkawa happier after ever. Inatosha kuwaangalia kwa jicho la kuchelewa watu wenye more than 30 na tuangalie nje ya box.
 
No research no right to speak........?Inawezekana kafanya research pia vice versa.
Vipi mdau upo 30's something sasa kakuboa na mawazo yake nini?Mtazamo tuu

yap late 30's wit 4 kidos na kifua chuma .
so sifall ktk hilo kundi laa nafall ktk kundi la walala uchi kila siku usiku kwa ruhusa ya paroko
 
yap late 30's wit 4 kidos na kifua chuma .
so sifall ktk hilo kundi laa nafall ktk kundi la walala uchi kila siku usiku kwa ruhusa ya paroko

Hongera....unalala uchi na mungu anapenda....
 
nisamehe buree
eti nimeusoma uzi wako nikapata picha eti wewe ni subordinate wa mdada ofcn kwenu
af mdada amekuwa mkali so ukaamua kumjengea hioja kwamba ni mkali kisa hajaaolewa
kumbe sio kweli, mzembe ni wewe na anakugombeza kisa uzembe wako
jiongeze na wewe ili usiwe subordinate.

af sjui kwann hili ni kwazo sana kwa wakaka yaan bosi akiwa mdada tu ataandamwa hadi akome, mara oooh ana mastress ya kutoolewa, akiolewa mara ooh ana stress za ndoa, hakunaga jema jaman mdada akiwa bosi

Unatumia kinywaji gani dada?.. lol
 
Back
Top Bottom