Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Kisirani kwa wa dada wenye 30 and above

Yote wanayataka wao kwakujifanya wajuaji ,wanasahau kuwa maamuzi yahusuyo ndoa yapo kwa ME
mutant gene
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin

Usiwe mbishi dada. Mwanadamu yeyote anapokosa rizk ambazo wanadamu wengine wanazo anakuwa na mawazo mengi na hayo humpelekea kuwa na stress na stress zinaathiri hata utendaji wake wa kazi na mahusiano yake na watu wengine. Hata wanaume huwa katika hali hiyo japo kiburi cha uanaume kinawafanya wawe na confidence kuliko wanawake na hivyo kupunguza stress japo kidogo.
 
Last edited by a moderator:
wengine wanakuona adui kabisa..

suluhisho kama huyo mwenye kisiran haajolewa "omba mechi wa kirafiki"
 
hasira hazina mipaka ndio maana watu hujiua na wengine hufanya mambo bila ya kufikiria
 
Kuna mdada aliwahi kuwa boss wangu, alikuwa mtu wa makelele mno. Niliamua kuwa nakaa kimya si zaidi ya salamu na maelekezo ya kazi, nikiingia kazini ni serious na kazi zangu na sina story nae na akijiongelesha namwangalia tu simjibu chochote, baada ya muda kupita akaanza kunipa deal za hela na training mbalimbali, mwisho wa siku alikuwa mpole tukawa marafiki
 
gfsonwin
No research no right to speak........?Inawezekana kafanya research pia vice versa.
Vipi mdau upo 30's something sasa kakuboa na mawazo yake nini?Mtazamo tuu
 
Last edited by a moderator:
A woman without a man is just like a fish without a bicycle.

Kwa nini kununa kwao kuhusiswe na ndoa?
Kuna factors kibao Tu zinazosababisha hiyo hali,MP pia huwafanya baadhi wajinunie.
 
mhm!!!! umeshawahi kuwa mwalimu wa waalimu?

Stress mbaya sana, na hii inawaathiri wanawake zaidi. Hata performance Yao makazini inapungua. Wengine wala sio mabosi lakini unaona wanavyoumia rohoni, ukimgusa tu hata kwa utani umeharibu.

Sio stress za ndoa tu, hata tamu. Kama mdada amekaa mda mrefu sana bila kupewa dozi anakuwa restless na mistress, mawazo na performance kazini huwa sio nzuri.
 
Na wanaume weng hawapend mwanamke mmbea na mchonganishi hahahahaaa lol


Ndo mana nakutaka wewe baby usiye na tabia za kishenzi...

I love you nataka nikuoe tumboo...

come on baby
 
Back
Top Bottom