Mi binafsi sipendi ndege...I like traveling with buses au personal drivingNauli kutoka Mwanza hadi dar Kwa basi ni elfu 60, Chakula njiani 20, tax kufika standi 10, ( masaa 14hrs road) ukishuka ubungo either ulale gest 30000 au uchukue tax elf 30, kama kuna ndugu Wa kukupokea (hasara na usumbufu Wa kukufuata stand tumpe naye elf 30) haya uchofu Wa safari utakupasa upumzike ambapo hasara ya kulala siku nzima inayofuata elf 30 n.k let's say imekucost laki mbili kupanda bus,
Ungefanya mipango ya FASTJET 150000 /= AU Ungefanya mpango Wa precision Air 360000/= Ungefika chap na Kwa haraka ukaendeleza majukumu yako ya kuingiza Pesa nyingine ;
Mi ninafikiri siku nyingine panda ndege kupunguza gharama ( Note; gharama zingine hazionekani direct)
SAFARI ZA BUS MASAFA MALEFU IFIKE MAHALI TUACHANE NAZO zimepitwa na wakati ( Tutumie bus safar fupi fupi)
==========================
NI SAWA NA KUNUNUA KIWANJA KWENYE KILIMA AU BONDENI 2MIL HALAFU MSINGI WA NYUMBA IKAKUCOST 15MIL pamoja risk za Maji na bomoabomoa! Wakati kuna viwanja flat saafi vinauzwa 8mil na mzingi only 3mil na ni sehemu salama
Wadarrrr hao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mboba umeanza kujihami mkuu. Sisi dada zenu ndo tunawajua vizuri kaka zetu wa Dar msotaka kusimama kwenye daladala eti mnachoka wakati kuna mama na tumbo kubwa la ujauzito kasimama.
Mmeshapita malandizi? ujue watu wako ubungo wanakusubiriila imeanza kwa kudisiwa, hata ukisoma heading ni kama vile inachanwa
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji1]Mie ticket nakata kwa simu tu hapo ubungo nikifika ni kukabidhiwa ticket na kuingia kwenye basi..mpe hi dada Nurat, ndio agent wangu huyo
hayo malori yasituchanie mkeka wetu....mi nalisubiria kibaha kwa mbonde hapatungekuwa tushafka huko ila kuna malori yameongozana hapa yameleta uzibe, sijui ni wajeda hao!! ila ndo tunaingia mlandiz
Hujakutana na dar express (DFR) Dar-Nairobi... Moto wakuotea mbali
hapo sasahivi coz now miembe saba
[emoji23][emoji23][emoji23] na tochi ziingue zoteNdo hivyo mtapitwa hadi tinde. Hakuna gari inayokimbia sana siku hizi labda waandae rushwa ya kutosha kwenye tochi ndo wataweza kimbia utakavyo
Nafikiri mmeanza kuiona kiluvya sasa.hapo sasahivi coz now miembe saba
Yes, kuna ya shabani kikot (ninja), kuna ya masuki na rama. Zote mambo mbayaNinja ya Kikoti...ha ha ha.
Ok pole kwa safari,usisahau kuniletea furu na dagaa wangungoma iko ubungo tayari, inashusha hapa kituo cha mafuta karibu na mataa afu ndo iingie terminal
Hapo Oil com ndipo ofisi yao ilipo. Mungu ashukuriwe kwa kufika salama.ngoma iko ubungo tayari, inashusha hapa kituo cha mafuta karibu na mataa afu ndo iingie terminal
mkuu unatumia cm gan hujaishiwa chaji safar nzimangoma iko ubungo tayari, inashusha hapa kituo cha mafuta karibu na mataa afu ndo iingie terminal