Shuka utembee kwa miguu uenda ukawahiJamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike Dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la Kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa Master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo manake uongo umeanza kudhihirika.
Mwanza wanaishi watanzania makabila yoote ...kumbuka lile ni jiji mkuumwanza wanakaa kabila gani, wasukuma?!
Ntakukatia ticket siku moja ya bombadia ili utupe live stream kati ya precision na bombadia nani zaidi.ni kweli sio yule wa kwanza, sasa naona huyu aliyeingia ni mdogo wake Michael Schumacher. jamaa ananyoosha mguu hadi raha
Huyu hana tofauti na shibe kijijini, kaishiwa bando.Mkuu mbona unachelewa kutoa update?@sexer
Nimeupenda huo msemoHuyo jamaa aliyeipita kisbo hapo buhongwa, kwa uzoefu wangu, hata toboa shinyanga bila ya kukutwa na kupitwa.
Uzuri wa kisbo hailali kituoni, kula ni dk 4 hadi 5, ukizembea utaachwa. Kuns kamsemo chao wale madereva na mautingo "kisbo haimuachi abiria, bali abilia ndo anaiacha kisbo"
Au kaingia yule jamaa wa transporter reloded?ni kweli sio yule wa kwanza, sasa naona huyu aliyeingia ni mdogo wake Michael Schumacher. jamaa ananyoosha mguu hadi raha
kudia na katagi dom Zilikuwa nyuma yenubaada ya singida hakuna aliyekatisha, wale waliotupita shy tulibambana singida walikuwa wanaenda arusha. nadhan huko mbele yetu kuna kidia one, katagi sijajua anaenda wapi make naye alipopita hajaonekana tena.
kudia na katagi dom Zilikuwa nyuma yenubaada ya singida hakuna aliyekatisha, wale waliotupita shy tulibambana singida walikuwa wanaenda arusha. nadhan huko mbele yetu kuna kidia one, katagi sijajua anaenda wapi make naye alipopita hajaonekana tena.
dodoma ilikuwa saa 9. nilishawahi toka dar to mwanza na zuberi, saa mbili niko mwanza tena buzuruga nikaangalia na taarifa ya habari
Umenikumbusha ligi ya Tawaqal na Kiswele enzi hizo Dar to Songea, huku kuna giriki kule yuko Yogi palikuwa hapatoshi!Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike Dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la Kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa Master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo manake uongo umeanza kudhihirika.
Tulia hapo hapo, tochi zimeshapaki, ni mwendo wa kunyoosha goti tu saa hizi, saa tatu usiku moro, saa tano na nusu usiku ubungo........
Kwanza ukianza kuuliza gari gani ya kupanda ambayo huta lala njiani,gari uli shauriwa na wadau wengi ndio uliyo panda .saa 12 alfajiri ukawajuza wadau mwenendo wa safari yako kuwa na hadi sasa uko nasi began kwa bega kuhusu mwenendo wa safari yako.vp mkuu jirani yako uliye kaa naye seat mmoja ana kusaidia kuiona safari fupi kwa kukupa ushirikiano wa story .
Subili utatuambia kufika singida nani yuko mbele. No pm nikwambie siriJamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike Dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la Kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa Master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo manake uongo umeanza kudhihirika.
Kwani watasikia maumivu,[emoji23] [emoji23]hahahaha subiri tu itakapoanza kupaa kama hujashukia Singida..
Ila likipiga msinga nitakuja kucharaza viboko abiria wooote humo..