Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kashindwa kuuliza swali.

Mtu akiuliza "kutuka kwa ndege kunawezekanaje?"

Halafu akaombwa ufafanuzi, unaposema ndege, unamaanisha nini?

Akashindwa kufafanua, kashindwa kuuliza swali.

Hapo naomba nitofautiane na wewe. Maswali mengi kama sio yote yatahitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kujibiwa.

Bado narudia tena, swali ameuliza. Unaweza kutoa maoni kuhusu muundo, mantiki, na mengineyo unaweza kufanya hivyo lakini haiondoi kwamba hilo ni swali.

Au unataka nikuulize swali ni nini?
 
Hebu toa mifano ili tupate picha ya kile unachokisema.
Mkuu katafute kitabu cha miracle of your mind by murphy ameeleza vzr sana mwandishi kila siku mnaambiwa kule tafuteni mtaona au itafute elimu japo ktk miji ya china me nimekupa mwanga kdg 2 katafute kitakusaidia
 
Kuna shida kidogo hapo conscious mind haionekani bali kupitia matokeo ya vitendo vyake... Yani yale mtu ayafanyayo yote anapokuwa live... Unachoweza kuona ni matokeo sio kichokoo cha matendo yanayoleta matokeo na mojawapo ni utambuzi ama maarifa ya kitu kupitia milango sita ya fahamu
Subconscious mind inaitwa akili tuli yani mwili unapokuwa kwenye dormancy state... Hauna fahamu ya utambuzi kwa maana ya kwamba sio mfu lakini mifumo mingine inaendelea kufanya kazi
Sasa hapa ndio walipokwepa wengi kujibu kuhusu uwepo wa Mungu... Yupo lakini huwezi kumuona kama ulivyo na akili ambayo huwezi kuiona
You are right kote huko lakn hapo uwepo wa mungu ndio shida mungu hayupo kama square root of negative watu walibuni kurahisisha maisha
 
You are right kote huko lakn hapo uwepo wa mungu ndio shida mungu hayupo kama square root of negative watu walibuni kurahisisha maisha
Haya sasa ni maoni binafsi... I rest my case... Asante kwa kushiriki mjadala kwa njia ya kukwamua tulipokuwa tumekwama...
 
Uko sahihi kama hii ndio tafsiri sahihi ya akili sasa kwanini kuna watu wanataka ithibati za kuwepo kwa Mungu wakati Mungu ni kama akili ambayo ipo lakini haionekani wala kupimika!? Bali hujidhihiri kwa matendo ya ufahamu kulingana na mazingira yaliyopo?
Je watafurahia na kukubaliana na jibu lako hili?
Mkuu tatizo mungu kwenye hivyo vitabu amedanganya vingi thats why watu wanaona hizi ni hadith km kweli yupo kwann asiongee ya kweli?
 
hua nikikutanaga na watu wanaobisha uwepo wa mungu nacheka sanaa .kisha nawakumbusha kuna mfalme ambae alikua na uwezo wa.kila kitu na yeye alijiita mungu na hakuamini kama kuna mungu mmoja wa haki..Musa alipomjia na aya na dalili za uwepo wa mungu bado akabisha na kumuita musa mchawi ..ila wote tunajua baada ya hpo alipowafuata musa na watu wake baharini nn kilimkuta.alijuta na kuomba msamaha ila alikua kachelewa .na mungu ili kuonyesha watu akaufanya mwili wake huyo firauni usioze na mpaka leo upo
 
kwa hio kabla hujabisha na kujiona una hoja za msingi ety humuamini mungu kumbuka kuna wenzako tena waliokuzid kila kitu na walikua na nguvu zaid yako pamoja na majeshi walibisha kama ww ila mwisho wa siku waliomba msamaha na kuamini
 
Mkuu tatizo mungu kwenye hivyo vitabu amedanganya vingi thats why watu wanaona hizi ni hadith km kweli yupo kwann asiongee ya kweli?
Hivi kwanini inakuwa kwamba mnasema kiujumla kuwa hakuna mungu kabuniwa tu,ila hoja zenu zinazowafanya mseme zinaishia kuvitaja vitabu vya dini tu?
 
Back
Top Bottom