Astronomer The Great
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 978
- 576
Amedanganya kuwa jua linatembea wakati lipo stationary mpaka kipindi kile kanisa lilikuwa na mamlaka ya kidini na kiserikali ikapelekea kumua Gallileo kuwa alisema dunia ndio inayotembea ikaonekana anapingana na maandiko juzi juzi 1992 ndio kanisa kupitia papa wameomba msamahaHivi unajua kwanini nimekunukuu lakini? Umeandika Mungu Amedanganya. Unaelewa tofauti yake na haya uliyoyaandika?