Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,651
- 860,921
Swali lenu linauliza akili ni nini?Una uhakika na usemacho?
Kama mwenye akili ni yule mwenye kuutambua uwepo wa mungu bhasi sina akili.
Kwani yeye kajibuje?
Mimi nimeongea nini ambacho unadai sijasoma vizuri?
Mungu yupo... The almighty one... Bisha! Kanusha! Pinga...! The God is there to stay.... Ulimwengu wa roho kamwe haujawahi kushindwa na ulimwengu wa mwili
Usijisumbue hamini katika hayo ndg.usitupie lulu NguruweNimesoma hii kwa masikitiko makubwa nikasema you know nothing about how you got to be present,,,
Ulipoumbwa ulipewa hekima na maarifa uyatumie katika kujidefend na kitu chochote katika ulimwengu huu
Your power,wisdom and knowlege ,all lie within the matirx system of your brain and that is where all wisdom and knowlege to know the knower rest,,,,
You were cretaed to survive around this palanet depending on how you combat and conqer limitness and boundaries across ways of your life ...
The pineal gland was given to you to connect you with the supreme being so that you could be aware about how nature is,,,,,the pineal gland could show you how the ability to create anything you want simply because you are the personal aspect of GOD hence you can create everything you want,,,
Simply because your pineal gland that activates your intuitions and ability to conqer the limitness is not active ndo mana unajikuta unaamini second hand informations from scientists who have already activated the pineal gland and found themsleves in the level to create and study deeply how nature is,,,
Your pineal gland has been calcified hence you can not sense the presence of the supreme being as the most hingh one....you have no ability even to sense the presence of the most high one,,,,
God can not reveal himself simply because he lives and dwells in another plane of reality,,to recognize that you as human being have to ascend and share the ability he has so that you can perfom as high miracles as him but the mode to reach there needs you to activate your potential of realm,,,
Am very sory to conclude that you know nothing about that,,,,even the little bit you know about nature keeps floating under darkness of reality....
Ndio!Mungu yupo... The almighty one... Bisha! Kanusha! Pinga...! The God is there to stay.... Ulimwengu wa roho kamwe haujawahi kushindwa na ulimwengu wa mwili
Kwanza kwanini ajiite Mungu,kuna mahusiano gani kati ya hilo neno mungu na anachokifanya sasa Beyonce hadi aamue kujiita hivyo?
Na vp endapo Jay-z angekuwa na wake wawili na wote wanamuziki,ina maana huyo mke mwengine naye automatically angekuwa mungu maana ameolewa na Jay-z na ni mwanamuziki?
Halafu hakuna Mungu wa kwenye vitabu bali kuna maelezo ya kwenye vitabu kuhusu Mungu.
Upepo ni nini!?Nina swali..
Hivi ulishawahi kuuona upepo?
Kama wewe ni mwamini huna haja ya kuhoji hayo.. Kwakuwa je ukishajua yatakusaidia nini kwenye imani yako? Kwakuwa hata hao wasioamini hawana maelezo yaliyonyooka zaidi utapewa links za big bang nk...Ndio!
Hata mimi nakubaliana na hilo, na ndio maana mimi binafsi ni mfuasi wa dini fulani!!
Lakini kuna swali linanikerengesha sana,
Je Mungu kaumbwa na nani!?
Au tuseme Mungu katokea wapi!!?
Tafadhari kama kuna yeyote anayejua, ntafurahi sana kufahamishwa hilo!!
Unachosema si kibaya sana bwana mshana, lakini, kwani kujua hilo kuna madhara gani!?Kama wewe ni mwamini huna haja ya kuhoji hayo.. Kwakuwa je ukishajua yatakusaidia nini kwenye imani yako? Kwakuwa hata hao wasioamini hawana maelezo yaliyonyooka zaidi utapewa links za big bang nk...
Baki na hili kitabu cha mwanzo kisome kiroho na si kama novel! Mambo ya kiroho hayana ithibati za kisayansi na ndio maana wasio waamini wanakwepa kujibu swali la msingi kuhusu akili
Sura gani hususa ya hicho kitabu!? Au nisome chote!?Hakuna shida ndio maana nikakuomba ukasome kitabu cha mwanzo kwenye Biblia takatifu
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri.
Sasa toka uanze kuzisoma post/comments za Kiranga wewe unamuweka wapi kwenye hilo!?
Je,ana huo uwezo wa kuchakata mambo ama hana!?
Kama jibu lako ni ndiyo maana yake ana akili.Na kama huo uwezo hana maana yake si hana akili!!.
Mjadala unakuwa umeishia hapo na tuendelee na hoja zingine.
Ila siku nyingine nyinyi wafuasi wa Mshana Jr muache kuwa mnauliza maswali ambayo majibu yake yapo clear.Kama ni kuendelea kumtolea sadaka jamaa yenu ili afaidishe familia yake huku nyinyi waumini wake mkishindia mlo mmoja endeleeni.Na maandiko yenu yamewaambiwa kabisa kuwa mnaangamia kwa kukosa maarifa!!
Naona umeanza mahubiri mkuu.Baada ya hapo usisahau kuomba na sadaka kabisa.Mungu yupo... The almighty one... Bisha! Kanusha! Pinga...! The God is there to stay.... Ulimwengu wa roho kamwe haujawahi kushindwa na ulimwengu wa mwili
Kuna mtu hana akili?Akili ina tafsiri tofauti tofauti mkuu. Ndo maana anataka kujuwa unamaanisha nini. Hivi mtu asiye na akili unamtafsiri vipi?
Hahaha! Ngoja nifungue kabati hapa nicheki Kama nnayo!😀
Akijibu kwa tafsiri yake utamuelewa? Maana ni kama mtu akuulize, “una mafanikio”? Certainly mafanikio yana maana tofauti. Kuna mtu nyumba ni mafanikio, na mwingine kuwa na mwembe au mchenza ni mafanikio!
Hicho unachoita akili, kuna wanaosema “akili ya kutafuta pesa”, kwa tafsiri ya huyo mtu, siyo kwamba asiye na pesa hana akili, bali hana akili ya kuitafuta. You see?
Si vizuri kila wakati kutafuniwa kila kitu.. Bible takatifu ina soft na hard copy unaweza kuipata kwa urahisi nje ama ndani ya mtandaoSura gani hususa ya hicho kitabu!? Au nisome chote!?
Lakini mkuu Mshana jr, kama wewe ulishakisoma na ukaelewa na sasa unajua kuwa Mungu aliumbwa na nani au alitokea wapi, nadhani ungerahisisha tu kwa kutoa jibu moja kwa moja hapa hapa!!
Kwa kufanya hivyo hata wengine watakuwa wamewlimika.
Ahsante!!
Ukiona mtu anajisifia kuwa anajua sana mambo hapo jua hamnamo kitu.Ndiyo wewe ukifanyacho kujisifu eti unajua sana quantum physics,badala ya kuchangia kwa fact ili sisi watazamaji ndiyo tutapima huo utaalamu wako.namini namsubiri hapa hapa ajichanganye aseme anaijua vizuri ndo nimkaange vizuri na quantum physics yak,,,,anadhani wengine watujui kuhusu quantum tecnlogy that tries to explani about the core of everything....nimemsubiri ajibu hiyo artice watu wafunguke vuzuri kama hatajikana leo sijui
Asante kwa kujibu na maelezo marefu juu... Japo mwisho umeishia kutetea upande mmoja.. Bado ni sahihi kabisa siwezi kukulaumu...Mshana
Akili ni yale mambo yote unayoyaona na ukaweza kuyatambua kupitia mazingira au ufahamu wako kwa kufikiria au uelewa na kuyatunza ktk kumbukumbu.Na asili yake ubongo
Huwezi kupima akili maana ni uelewa hivyo ukisema mtu ana akili au hana akili lazima uwaambie watu unamaana gani
Lazima ufafanue ili ujibiwe mtu mtu yoyote anayezaliwa anakuwa ana akili tayari Maana akili ipo muda wote na hiyo ndio
Inayokutofautisha na viumbe wengine,tofauti inakuja ktk uelewa baina ya mtu na mtu au uwezo wa kufikiri au kukumbuka
Lakini pia mtu anaweza kuzaliwa
Na ugonjwa wa akili anakuwa anayo akili lkn ina matatatizo si Kama hana hivyo hakuna mtu duniani asiyekuwa Na akili ila wapo wenye matatizo ya akili ktk ubongo mfano epilepsy Au cerebral palsy.Pia ukiweza kudevelope Tabia badae ambayo ikakupelekea ktk hali kushindwa kujielewa au kuyatambua mazingira itakuwa psychotic disorder
Lakn ktk Psychiatry utakuja gundua huwezi ona mtu anauliza
Una akili au Hana akili,bali atauliza ana matatizo ya akili au magonjwa ya akili maana anajua akili Muda wote ipo tokea unapozaliwa,ktk akili huwa tunapima uelewa conscious na akitaka fanya hivyo atafanya assement ya mental status utaona anafanya yafuatayo:-
=> muangalie mtu muonekano wake na tabia yake
=> pia maomgezi yake utaweza jua uelewa wa mtu
=> mood yake mtu wa kukasirika? Au
=> mawazo yake unapoongea nae anawaza nini
=> ufahamu wake unamuuliza we nana anakuambia mi Obama utajua huyu
Chenga
=>pia km yupo hallucinated au anaangoea anajua mwenyewe Mara shetan anakuja
Hivyo unaweza kujua km mtu yupo conscious lakn ukisema mtu ana akili au hana waambie watu unamaana gani Na km hutaki fafanua hiyo ni self defense mechanism ya kuogpoa
Changamoto
Hilo ndo jibu la swali uliloulizwa au??Upepo ni nini!?