jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
Hahaha! Ngoja nifungue kabati hapa nicheki Kama nnayo!😀Haijawahi kutokea Swali Likajibiaa na Swali hii ni ajabu kwa watu wanajitia wana Ufaham mkubwa kujibu swali kwa swal.
Isiwe shida Swali limejibiwa Kuwa akili ni Akili Mmekataa kuwa hilo sio jibu.... Kwa kukataa inaonyesha kuwa mnamajibu sahihi ya swali tofauti na hilo lililotolewa, Mkiambiwa toeni jibu sahihi basi mmebakia kusema hilo sio jibu.
Kusema 1+1= Sio 2 basi Mnajibu sahihi tofauti na hilo litoeni tupate kujua jibu sahihi.
Hata nikikuuliza Una Roho utaniambia Roho ni Nini. Yani swali linajibiaa kwa Swali.
Akijibu kwa tafsiri yake utamuelewa? Maana ni kama mtu akuulize, “una mafanikio”? Certainly mafanikio yana maana tofauti. Kuna mtu nyumba ni mafanikio, na mwingine kuwa na mwembe au mchenza ni mafanikio!Mushi angejibu kwa tafsiri yake. Mbona sijamuwekea... Limitations? Mbona mimi sikuwa na masharti? Nimeulizwa AKILI ninini nikajibu kuwa ni AKILI! Bila kujali jibu langu ni sahihi ama la lakini nilijibu
Sasa hebu nisaidie wewe msaidie kujibu! Utakuwa umefanya jambo moja kubwa sana... Swali lilikuwa linasema una AKILI ama huna AKILI?
Hicho unachoita akili, kuna wanaosema “akili ya kutafuta pesa”, kwa tafsiri ya huyo mtu, siyo kwamba asiye na pesa hana akili, bali hana akili ya kuitafuta. You see?