Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,529
- 151,869
Mungu kiumbe tena?unaelewa maana ya kiumbe lakini "" kiumbe ni " ni aina ya kitu kilicho umbwa " kwahiyo Mungu wake naye nikiumbe " mwenye Mungu wake " maana naye aliumbwa ....so kwa mantiki hiyo uweza wake wa yote unayokea wapi "" endapo kama kuna ambaye aliyemuumba " kwanini asingetumia uweza wake wa yote " kuzuka tu " ili aepuke kuitwa kiumbe ""?
Hahaaaaaa.