Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Acha ujinga "" neno upendo linamantiki IPI kwako ""? baba kajenga nyumba halafu anaweka mabomu katika hiyo nyumba "" halafu anawaambia Watoto atakaye lipukiwa na hayo mabomu shauri Yke "" halafu hapo hapo " ana waambia kuwa anaupendo na nyie mtamuelewa kweli huyo baba""? .......kwanini asionyeshe upendo wake kwenu kwakujenga nyumba ambayo haina mabomu "" ili atakapo waambia kuwa anaupendo nanyi"" muweze kuona kuwa anaishi ndani ya anachokiongea .....""

Mungu muweza wa yote " Mwenye upendo kwa wote hayupo "" tusidanganyane hapa
jiulize swali JWTZ wanatulinda wakayaweka mabomu katika store zao kwa hali isiyojulikana yakalipuka Mungu anausika nini hapo?wakati watu ambao tuliowapa dhamana wamekosea ?
 
Kwanini aamue kujiita Mungu na si mchawi au hearl?

Neno mungu lina maana gani kwani?
Uliwahi kumsikia Mungu kajiita hivyo"" au ni jina ulilokarilishwa tu na sehemu ya Jamii yako iliyokuzunguka"" kama ambayo Jamii ya watu wengine inayoamini uwepo wa samaki mtu """
 
nao wamekaririshwa na wazazi wao kama wanavyowakaririsha watoto wao sasa.
Sasa kama mfumo upo hivyo basi hakuna cha ajabu,hata kungekuwa na nchi ambayo watu wake wote hawaamini mungu pia watoto wakizaliwa wange karirishwa huo msimamo wa kuwa hakuna mungu.
 
jiulize swali JWTZ wanatulinda wakayaweka mabomu katika store zao kwa hali isiyojulikana yakalipuka Mungu anausika nini hapo?wakati watu ambao tuliowapa dhamana wamekosea ?
Mungu muweza wa yote hayupo " ndio maana akawaachia binaadamu jukumu la kujilinda wao wenyewe...angekuwa ni muweza wa yote angewaumba binaadamu wote wakiwa na upendo sawa "" ili kuepusha gharama za kujilinda kwao "" na machafuko baina ya nchi na nchi"" .....waweza kuniambia uweza wake wa yote uko wapi hapo "" ikiwa ameshindwa Ku maintain jambo kama hilo """?
 
Sasa kama mfumo upo hivyo basi hakuna cha ajabu,hata kungekuwa na nchi ambayo watu wake wote hawaamini mungu pia watoto wakizaliwa wange karirishwa huo msimamo wa kuwa hakuna mungu.
na iwe hivyo ulivyonena mkuu.
 
Mungu muweza wa yote hayupo " ndio maana akawaachia binaadamu jukumu la kujilinda wao wenyewe...angekuwa ni muweza wa yote angewaumba binaadamu wote wakiwa na upendo sawa "" ili kuepusha gharama za kujilinda kwao "" na machafuko baina ya nchi na nchi"" .....waweza kuniambia uweza wake wa yote uko wapi hapo "" ikiwa ameshindwa Ku maintain jambo kama hilo """?
kwani wapi Mungu kasema nitamlinda mwanadamu hata kama atakosea kulingana kwa utashi wake kujua au kutokujua ukinipa ilo andiko linajinasibu ivyo hoja yako itakua kweli kama hauna andiko au nukuu yoyote uje hojabyako ni ya kitoto
 
hapangiwi
Unaelewa suala sio kumpangia, ila ni kuelezea alivyopanga kwa namna inayoeleweka?

Inaonekana hata wewe unayemuamini huyo Mungu huwezi kumuelezea kwa namna inayoeleweka.

Kwa sababu hayupo, ametungwa kwa kuungwa ungwa tu.
 
Umejibu wimbo hauna rangi. Kwa sababu haionekani.

Hukubali wimbo una rangi. Kwa sababu haionekani.

Ila unakubali Mungu yupo.

Mungu anaonekana?

Mbona unakataa kuwapo kwa rangi ya wimbo, kwa sababu haionekani, halafu unakubali uwepo wa Mungu ambaye pia haonekani?

Naona ashajijibu mwenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]
 
mara ngapi unataka nikwambie kuwa uthibitisho wangu ni wa kiimani zaidi kitu ambacho wewe huna...umekengeuka ??? mnapenda sana kijificha ficha mnapoulizwa maswali yenye hoja.
Imani haina uthibitisho, ukithibitisha si imani tena hiyo.

Unaelewa hata imani ni nini?

Unakubali kwamba umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo?
 
kiroboto ana nyonyesha " anazalisha " ana zaa"" ana manyonyo ""? aisee...bangi hizi ""
kwani kingdom animalia wote wanazaa? swali dogo kama hili unalishindwa labda umejaza vitu vingi kichwani hadi unashindwa kujibu?embu relax halafu utakuja najibu
 
kwani kingdom animalia wote wanazaa? swali dogo kama hili unalishindwa labda umejaza vitu vingi kichwani hadi unashindwa kujibu?embu relax halafu utakuja najibu
wewe Jamaa bhanaa..kwani umeona nimetaja sifa ngapi hapo za kingdom animalia...??
 
Uliwahi kumsikia Mungu kajiita hivyo"" au ni jina ulilokarilishwa tu na sehemu ya Jamii yako iliyokuzunguka"" kama ambayo Jamii ya watu wengine inayoamini uwepo wa samaki mtu """
Kuna sehemu umemwambia mtu kuwa hata yeye anaweza kuamka na kujiita Mungu,ndiyo nikakuuliza kwanini ajiite mungu na si asijiite mchawi au hearly?

Neno mungu lina maana gani hadi ajiite hivyo?
 
Mungu muweza wa yote hayupo " ndio maana akawaachia binaadamu jukumu la kujilinda wao wenyewe...angekuwa ni muweza wa yote angewaumba binaadamu wote wakiwa na upendo sawa "" ili kuepusha gharama za kujilinda kwao "" na machafuko baina ya nchi na nchi"" .....waweza kuniambia uweza wake wa yote uko wapi hapo "" ikiwa ameshindwa Ku maintain jambo kama hilo """?
Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, angekuwepo, kungekuwa hakuna mgogoro wa Waisraeli na Wapalestina wala vita Syria.
 
Back
Top Bottom