Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

mkuu Kiranga cha Ngeda Sangala Kandumbwa,kakae Muamini na Mwana wa Fundi Shomvi na Sikudhani binti Muhamedi.wasalaam?! hoja ya Mshana Jr iko hapo.jibu kupitia hapo
Mbona nilishaulizaswali sikujibiwa?

Ikiwa kitu fulani hakipo, ni dhana potofu tu, na mimi nikasema kipo, ila hakiwezi kuthibitishwa kwamba kipo kwa sababu hakina ithibati ya kisayansi, nikasema hivyo ili nitumie kukosa kuthibitishika huko kama kinga ili hicho kitu ambacho hakipo kisiweze kupingwa uwepo wake, utajuaje kwamba hicho kitu kipo au hakipo?
 
hili mbona nimeshalitolea ufafanuzi mkuu..hebu pitia post zangu za mwsho vyema ""
Post yako ya mwisho niliyoiona mimi umesema wewe sio mkristo ila wazee wako wote ni waisamu.

Hapo haujaeleza wewe ni imani gani bali umetaja imani ya wazee wako.
 
Duh,

Ishakuwa ligi eeh?
huyu mshana ana zingua kwenye ule Uzi wa kipindi kile kulikuwa Na watu wanajenga hoja kuliko mshana. Atakae pitia ule Uzi ana weza kujua kitacho mkuta atakapo jibu akili ni nini. Sasa mjadala umekwama kwenye jambo dogo tu. Inaonekana hakujipanga kwa hoja
 
Haujajibu swali,mie nataka nipate tofauti ya kujua na kuamini kupitia hilo swali nililokuuliza. Sasa matokeo yake badala ya kujibu swali unaniuliza mie unategemea mie nikujibu nini?

BABA AKO UNAMJUA AU UNAMUAMINI?
Sijakujibu swali au hujui kusoma? Nikikwambia simjui wala simuamini utasemaje?

Unaniuliza swali ukiwa na jibu unalolitaka wewe tayari? Unataka kunilazimisha jibu lako?

Unaniuliza "Unaenda Kibaha au Kisarawe?" nakwambia siendi Kibaha wala Kisarawe, unaniambia sijakujibu swali kwa sababu sijakujibu naenda Kibaha au Kisarawe?
 
Tatizo sio watu kumuamini tu,imani ni jambo la ajabu sana na ndiyo maana hadi leo kuna imani nyingi tofauti na maisha yanaendelea.

Kuna watu maisha yao ni ushirikina mwanzo mwisho na kuna mwengine yeye hakubali kabisa kama kuna kitu uchawi,na wote wanaishi dunia moja na na kila mmoja hutatua matatizo yake kivyake.

Sasa hapa hoja sio kuamini tu ila ukweli wa kwenye hicho unachokiamini.

Kuamini tu au kutokuamini hakuna mahusiano na ukweli au uongo.
kwa msingi wa imani jinsi ulivyo " unamfanya yule anaye amini imani Fulani " amuone mtu asiye sawa kiimani na yeye nimtu aliyepotoka..."" Jews wanakuona wewe umepotoka " kutokana na misingi yao ya kiiimani na wewe waona vice versa dhidi ya imani yao pia...ndio hivyo ilivyo kwa budha wanavyowaona wakristo ama waislam ..ndio hivyo ilivyo kwa waislam jinsi wanavyo waona budha na wakristo pia" ...inshort habari hzi za imani huwezi kutenganisha na matakwa ya muwamba ngoma " kila mmoja huvutia ngozi kwake ..

May "take ,...kila mmoja abaki na imani yake aisee...as long as hakuna anayetishia amani ya mwenzie
 
huyu mshana ana zingua kwenye ule Uzi wa kipindi kile kulikuwa Na watu wanajenga hoja kuliko mshana. Atakae pitia ule Uzi ana weza kujua kitacho mkuta atakapo jibu akili ni nini. Sasa mjadala umekwama kwenye jambo dogo tu. Inaonekana hakujipanga kwa hoja
Anataka kuleta moves za draft, kwenye mchezo wa chess!
 
Post yako ya mwisho niliyoiona mimi umesema wewe sio mkristo ila wazee wako wote ni waisamu.

Hapo haujaeleza wewe ni imani gani bali umetaja imani ya wazee wako.
ooohh "" vyema sana "" kwahiyo sasa mmeahamia katika uhitaji wakutaka kujuana kiimani "" lakini baba wa taifa si alilikemea hili "" Mkuu mimi sina dini "" .....
 
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
The stupid has said, God does not exist!
 
Unapoandika "watu waliopita kwah ali hiyo" una maana gani? Na unawezaje kuthibitisha hilo?



Nani kakwambia namtak ayeyote aamini chochote? Binafsi sitaki kuamini, nataka kujua. Hapa nafanya mjadala, simhubirii mtu chochote, najibu hoja kwa sababu zimewekwa katika thread yenye jina langu ambayo nili i ignore mpaka watu waliponiita nikashindwa kuiignore zaidi.

Sasa utasemaje nataka mtu yeyote aamini chochote ikiwa mimi sitaki habari za kuamini?



Akili ni nini? Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?



Akili ni nini?



Kwa niniunafikiri nabishania imani hapa wakati mimi najadili facts?



Akili ni nini?



Ambao mpaka sasahujaweza kuutoa.



Nani kakwambia nathaminihabari za kuamini? Sitakikuamini, nataka kujua. Unaelewa tofauti?



Akili ni nini?



Kitu cha kwanza kipi?

Kwenye hiyo unayoisema akili yako kitu cha kwanza kikikwambia ule mavi yako utakula?
Namaanisha binadamu waliopita walioishi kabla yetu na nathibitisha hilo kwa kua wew ulitumia nadharia ya pembetatu kuelezea ambayo ni nadharia ya watu waliopita


Hapo utanisamehe..


Akil ni mfumo/uwezo wa kufahamu ( nimekupa jibu Kwa kutumia akili angu) na akili ako inaweza kuthibitisha hilo kwa kua ndani ya kila akili ya binadamu kuna ufahamu wa uwepo wa mungu ila baada ya kujifunza nadharia za watu waliopita ndo tukaanza kujadili ushahidi wa uwepo wake lakini ni ukweli ushahidi upo kwenye akili yako



Sijasema unabishana ila ni kujadiliana na kama nitakua nimekukwanza naomba unisamehe


Akili ni mfumo/uwezo wa kufahamu



Ushahidi wa uwepo wa Mungu upo kwenye akili yako. Tumia akili ako acha nadharia za binadamu wenzio waliopita



Kupitia akili yako ako utafahamu uwepo wake



Akili ni mfumo/uwezo wa kufahamu


Niliposema kitu cha kwanza nilimaanisha kati kuaminini uwepo wa mungu na kutuuwepo kwake kwa hali hiyo kitu cha kati hivo viwili ni kua kitu cha kwanza ni kuamini uwepo wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namaanisha binadamu waliopita walioishi kabla yetu na nathibitisha hilo kwa kua wew ulitumia nadharia ya pembetatu kuelezea ambayo ni nadharia ya watu waliopita


Hapo utanisamehe..


Akil ni mfumo/uwezo wa kufahamu ( nimekupa jibu Kwa kutumia akili angu) na akili ako inaweza kuthibitisha hilo kwa kua ndani ya kila akili ya binadamu kuna ufahamu wa uwepo wa mungu ila baada ya kujifunza nadharia za watu waliopita ndo tukaanza kujadili ushahidi wa uwepo wake lakini ni ukweli ushahidi upo kwenye akili yako



Sijasema unabishana ila ni kujadiliana na kama nitakua nimekukwanza naomba unisamehe


Akili ni mfumo/uwezo wa kufahamu



Ushahidi wa uwepo wa Mungu upo kwenye akili yako. Tumia akili ako acha nadharia za binadamu wenzio waliopita



Kupitia akili yako ako utafahamu uwepo wake



Akili ni mfumo/uwezo wa kufahamu


Niliposema kitu cha kwanza nilimaanisha kati kuaminini uwepo wa mungu na kutuuwepo kwake kwa hali hiyo kitu cha kati hivo viwili ni kua kitu cha kwanza ni kuamini uwepo wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakwambia pembetatu duara, wewe unaongelea pembetatu.

Unajua hujaelewa naongelea nini?
 
Sijakujibu swali au hujui kusoma? Nikikwambia simjui wala simuamini utasemaje?

Unaniuliza swali ukiwa na jibu unalolitaka wewe tayari? Unataka kunilazimisha jibu lako?

Unaniuliza "Unaenda Kibaha au Kisarawe?" nakwambia siendi Kibaha wala Kisarawe, unaniambia sijakujibu swali kwa sababu sijakujibu naenda Kibaha au Kisarawe?
Tatizo unadhani mie nimekuuliza swali ili nikutege,kumbe sivyo kabisa.

Nimekuuliza baba ako unamjua au unamuamini?

Wewe unaniuliza kwamba ukiniambia humjui wala humuamini nitasemaje? sasa hili ndiyo jibu au swali,halafu unasema ninakulazimisha jibu langu wakati hata hiyo kujaribu kujibu tu haujajaribu.
 
Akili ni nini?
Kwa mf. Nikavaa viatu vya mshana nikakujibu

[Akili ni mfumo/uwezo wa kufahamu]

Je una akili au huna akilli...?


Jibu ni mkuu akili unayo na kila mtu anafamu hilo,... je unaweza kuthibitisha kua wewe una akili

Huwezi kuthibitisha hilo na nadharia ako zinasema kam huwez kuthibitisha basi hilo jambo halipo kwa hali hiyo mkuu utakua HUNA AKILI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hizo ni nadharia ya watu waliopita ...tumia akil yako kufahamu vitu na utapata majibu ...acha kufuata nadharia ya watu waliopita

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ukisema "nadharia ya watu waliopita"umetumia nadharia ya watu waliopita.

Tumia akili yako acha kufuata nadharia ya watu waliopita.

Unajichanganya mwenyewe.

Ubora wa nadharia hautokani na kwamba ni ya watu waliopita au ni yako mpya.

Unajuaje ninaposema nadharia fulani natumiailiyoandikwa na watu waliopita au niliyoichunguza na kuikubali mwenyewe kivyangu?

Nadharia bora na ya kweli hata kama imetumiwa na watu waliopita, kama ni ya kweli na ina ubora, itatumiwa tu na watu wanaofuata.

This is why people do not reinvent the wheel, calculus, fire, the internal combustion engine, the rules of soccer, etc from scratch everyday.

Somehow you have this nonsensicalidea that everything has to be reinvented from scratch everytime.

Ukipinga nadharia za watu waliopita kwa sababu niza watu waliopita,utapinga kuwepokwa Mungu aliyeandikwa na manabii wote kwenye vitabu.

Kwa sababu nazo ni nadharia za watu waliopita.

Sasa unapinga maandiko yote ya watu waliopita?
 
Kwa mf. Nikavaa viatu vya mshana nikakujibu

[Akili ni mfumo/uwezo wa kufahamu]

Je una akili au huna akilli...?


Jibu ni mkuu akili unayo na kila mtu anafamu hilo,... je unaweza kuthibitisha kua wewe una akili

Huwezi kuthibitisha hilo na nadharia ako kam huwez kuthibisha basi mkuu utakua HUNA AKILI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama akili ni mfumo/ uwezo wa kufahamu, nina akili.

Kwa sababu nimeweza kukusoma na kukuelewa swali lako, nikatumia mfumo wa kuelewa/kufahamu (akili, kwa mujibu wako), nikaweza kulijibu.

Nina akili, ningekuwa sina akili (mfumo wa kuelewa/kufahamu) nisingeelewa swali lako na kuweza kukujibu kwamba nina akili au sina akili.

Nimekuthibitishia akili ninayo hapo, kwa kuzingatia definition yako.
 
Tatizo unadhani mie nimekuuliza swali ili nikutege,kumbe sivyo kabisa.

Nimekuuliza baba ako unamjua au unamuamini?

Wewe unaniuliza kwamba ukiniambia humjui wala humuamini nitasemaje? sasa hili ndiyo jibu au swali,halafu unasema ninakulazimisha jibu langu wakati hata hiyo kujaribu kujibu tu haujajaribu.
Baba yangu simjui wala simuamini, sina pakuanzia kumjua na mambo ya kuamini sitaki.

Hapo vipi?

Baba yake Mungu unamjua au unamuamini?
 
Back
Top Bottom