Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

wewe Jamaa bhanaa..kwani umeona nimetaja sifa ngapi hapo za kingdom animalia...??
kiroboto na wewe wote ni kingdom animalia wanaanza kutofautiana kwenye phylum wale wenye uti wa mgongo binadamu anaingia huku na wale wasio na uti wa mgongo b kiroboto ndo anaingia huku ukitoka hapo unakuja wale wanaonyonyesha na wale wasionyonyesha iyo ni class hapa ndo binadamu na nyoka wanatofautiana ila wewe na kiroboto katika ngazi ya kwanza wote nisawa
 
Kuna sehemu umemwambia mtu kuwa hata yeye anaweza kuamka na kujiita Mungu,ndiyo nikakuuliza kwanini ajiite mungu na si asijiite mchawi au hearly?

Neno mungu lina maana gani hadi ajiite hivyo?
ooooh "" nilikuwa sijakuelewa asante kwa sahahihisho "".....kutokana na mindset za watu kuwa brain washed "kiimani "" wanaamini kuwa Neno Mungu linatoa tafasiri ya ukuu " wa kila kitu "" ...so huyo atakaye jiita Mungu Naye atatumia fursa hiyo hiyo iliyopo katika imani za watu ...na kulitumia jina la Mungu kama kihalalisho cha utukufu wake"" .....may take kuna baadhi ya wa Hindi nao wanaamini kuwa " Mungu wao ni ng'ombe
 
kiroboto na wewe wote ni kingdom animalia wanaanza kutofautiana kwenye phylum wale wenye uti wa mgongo binadamu anaingia huku na wale wasio na uti wa mgongo b kiroboto ndo anaingia huku ukitoka hapo unakuja wale wanaonyonyesha na wale wasionyonyesha iyo ni class hapa ndo binadamu na nyoka wanatofautiana ila wewe na kiroboto katika ngazi ya kwanza wote nisawa
lakini siumeshaiona tofauti Yetu hapo ""! ? mkuu vipi "?
 
tatizo unaan
ukiletahuo muktadha .wakusema kuwa kila kilichopo duniani kina muasis wake utakuwa unamaanisha kuwa hata Mungu nae atakuwa na Mungu wake mkuu"".....
Mgunduzi wa Gari mtu " mtu ameumbwa na Mungu " Mungu naye ameumbwa na Mungu wake "" waweza kuniambia chanzo cha huyo Mungu kuwepo nikipi ??
dika mwenyewe kitu unachowaza kichwani halafu unataka mimi ndio nikupe jibu,wapi nimesema Mungu ana mwanzo.nimesema kila kitu kina mwanzo ,Mungu sio kitu wala hakuna sehemu nimesema Mungu ana muasisi wake jitahidi sana usimlishe mtu maneno.Taja aliyeumba kila kilichomo duniani na nje ya duniani ni nani ukishindwa kaa kimya acha sisi tuamini kuna Mungu aliyeviumba hivyo vyote .
Mungu hana mwanzo wala mwisho
 
Imani haina uthibitisho, ukithibitisha si imani tena hiyo.

Unaelewa hata imani ni nini?

Unakubali kwamba umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo?
Wewe si ndiyo unasemaga unaamini kuchomoza kwa jua kesho na ni imani sahihi kwa sababu ina ushahidi!
 
Au mkuu ulikuwa unadhani mtoto akizaliwa anakuwa atheist moja kwa moja?
mtoto akizaliwa ni kama boksi tupu kadiri bidhaa zitakavyopangwa ndani humo ndivyo hilo boksi litakavyokuwa,sasa watakaopanga hilo boksi ndio wataamua bidhaa humo boksini zina thamani gani,nadhani nimeeleweka mheshimiwa mbunge wa makete.yaani wazazi watakaomlea mtoto huyo.
 
Nikimjua au nisipomjua hilo halithibitishi kwamba Mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Sijakwambia kwamba ukimjua au usipomjua inathibitisha mungu yupo au hayupo.

Nimekuuliza baba ako unamjua au unaamini ni baba ako?
 
ila wote si kingdom animalia maana majani ni kingdom plantae kwaio ni tofauti kwaio wote sawa?
hebu jenga hoja yako kwanza "" !? nikuelewe mkuu" achana na Hawa animalia.... kenge hawezi kuwa mjusi" eti kisa tu wote ni animalia.. kwahiyo kuanzia leo wataka nianze kumuita kenge mjusi " sindio ""
 
tatizo unaan

dika mwenyewe kitu unachowaza kichwani halafu unataka mimi ndio nikupe jibu,wapi nimesema Mungu ana mwanzo.nimesema kila kitu kina mwanzo ,Mungu sio kitu wala hakuna sehemu nimesema Mungu ana muasisi wake jitahidi sana usimlishe mtu maneno.Taja aliyeumba kila kilichomo duniani na nje ya duniani ni nani ukishindwa kaa kimya acha sisi tuamini kuna Mungu aliyeviumba hivyo vyote .
Mungu hana mwanzo wala mwisho
hahaa..waweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo "" ? ....Kuwepo na natural resources duniani hakuhalalishi uwepo wa Mungu"" so kama yupo thibitisha ""
 
hebu jenga hoja yako kwanza "" !? nikuelewe mkuu" achana na Hawa animalia.... kenge hawezi kuwa mjusi" eti kisa tu wote ni animalia.. kwahiyo kuanzia leo wataka nianze kumuita kenge mjusi " sindio ""
hoja yangu ilikua hizi ndio hadithi sio biblia kwani zinakufanya wewe na kenge,kiroboto au nyani kuwa kundi moja
 
ooooh "" nilikuwa sijakuelewa asante kwa sahahihisho "".....kutokana na mindset za watu kuwa brain washed "kiimani "" wanaamini kuwa Neno Mungu linatoa tafasiri ya ukuu " wa kila kitu "" ...so huyo atakaye jiita Mungu Naye atatumia fursa hiyo hiyo iliyopo katika imani za watu ...na kulitumia jina la Mungu kama kihalalisho cha utukufu wake"" .....may take kuna baadhi ya wa Hindi nao wanaamini kuwa " Mungu wao ni ng'ombe
Sasa kama ni hivyo ina maana yule atakaye jiita mungu ina maana yeye ndiye mwenye sifa hiyo ya ukuu.

Sasa mtu aliyezaliwa na kukuta watu wanaamini mungu anaanzaje kujiita kuwa yeye ndiye mungu na ikaeleweka?
 
Sasa kama ni hivyo ina maana yule atakaye jiita mungu ina maana yeye ndiye mwenye sifa hiyo ya ukuu.

Sasa mtu aliyezaliwa na kukuta watu wanaamini mungu anaanzaje kujiita kuwa yeye ndiye mungu na ikaeleweka?
hujasikia " kisa cha Beyonce kuanzisha dini yake na kufuatwa na watu " na dini Yke kueleweka"" au unatokea Pluto nini mkuu""!?
 
hoja yangu ilikua hizi ndio hadithi sio biblia kwani zinakufanya wewe na kenge,kiroboto au nyani kuwa kundi moja
kwa mantiki yako "" hii zile habari za juma na uledi sio hadithi " kwa sababu masimulizi yake hayana tofauti na mussa kupiga fimbo baharini kisha bahari ikajigawa "" .......kuanzia leo tuiite ile simulizi ya juma na uledi msahafu ama biblia mkuu""
 
hahaa..waweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo "" ? ....Kuwepo na natural resources duniani hakuhalalishi uwepo wa Mungu"" so kama yupo thibitisha ""
kwanini unasema kuwepo kwa natural resources hakuhalalishi uwepo wa Mungu lakini husemi nani kaziumba hizo natural resources.mimi nimekupa mfano wa kitu ambacho kinaonenakana na hakiwezekani kuumbwa au kutengenezwa kwa mikono ya binadamu,na umekubali kipo ila hutaki na huwezi kusema kimeumbwa na nani kama sio Mungu
 
kwa mantiki yako "" hii zile habari za juma na uledi sio hadithi " kwa sababu masimulizi yake hayana tofauti na mussa kupiga fimbo baharini kisha bahari ikajigawa "" .......kuanzia leo tuiite ile simulizi ya juma na uledi msahafu ama biblia mkuu""
kwani juma na uledi kuna simulizi ya maji kujigawa?
 
mtoto akizaliwa ni kama boksi tupu kadiri bidhaa zitakavyopangwa ndani humo ndivyo hilo boksi litakavyokuwa,sasa watakaopanga hilo boksi ndio wataamua bidhaa humo boksini zina thamani gani,nadhani nimeeleweka mheshimiwa mbunge wa makete.yaani wazazi watakaomlea mtoto huyo.
Yeah umeeleza vizuri sana na sio wazazi tu hata na jamii husika.

Na huo ndiyo uhalisia wa maisha.
 
hujasikia " kisa cha Beyonce kuanzisha dini yake na kufuatwa na watu " na dini Yke kueleweka"" au unatokea Pluto nini mkuu""!?
Na ndiyo maana nikakuuliza neno mungu lina maana gani,sasa huyo Beyonce nae kajiita hivyo kutokana na maana ya hilo neno kwa maana hiyo mtu ambaye ataona ni kweli ana sifa hizo ni atamuamini.
 
Back
Top Bottom