Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Mungu anayejua yote anahitaji kututest ili kujua tulipo?

Huyu Mungu anayejua yote, bila kututest hatajua tulipo?

Mbona unajichanganya?
Ni wewe ndo unaijichanganya si mimi...maelezo yangu yapo clear kabisa...sida iko pale mnapotaka kumthibitisha Mungu kama unavothiibitisha embe
 
nathibitisha kwakua ameumba ulimwengu na vyote vilivyomo? unaweza ukaniambia chanzo cha ulimwengu na uhai?
Una ushahidi gani kuwa vilivyomo humu ni vya kuumbwa na mungu huyo ambaye umeshndwa kuthbitisha uwepo wake?

Kwa nini unaamini kuna chanzo cha ulimwengu na uhai?
 
Ni wewe ndo unaijichanganya si mimi...maelezo yangu yapo clear kabisa...sida iko pale mnapotaka kumthibitisha Mungu kama unavothiibitisha embe
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo kwa njia yoyote.
 
Una ushahidi gani kuwa vilivyomo humu ni vya kuumbwa na mungu huyo ambaye umeshndwa kuthbitisha uwepo wake?

Kwa nini unaamini kuna chanzo cha ulimwengu na uhai?
ushahidi ninaokupa ni mwanzo 1;1

pia ukisoma mwanzo utaona chanzo cha uhai je wewe huamini kama kuna chanzo cha uhai? kama uamini nipe maelezo nje ya kitabu cha mwanzo
 
ushahidi ninaokupa ni mwanzo 1;1

pia ukisoma mwanzo utaona chanzo cha uhai je wewe huamini kama kuna chanzo cha uhai? kama uamini nipe maelezo nje ya kitabu cha mwanzo
Hayo ni mahubiri. Si ushahidi.

Tofautisha mahubiri na ushahidi.

Hujaweza kuthibitisha kwamba kitabu cha mwanzo si hadithi tu.
 
ushahidi ninaokupa ni mwanzo 1;1

pia ukisoma mwanzo utaona chanzo cha uhai je wewe huamini kama kuna chanzo cha uhai? kama uamini nipe maelezo nje ya kitabu cha mwanzo
Unakiamini vipi kitabu kinachojipinga kuwa kina maelezo toshelezi ktk mungu kuumba ulimwengu na vilivyomo?
 
Hayo ni mahubiri. Si ushahidi.

Tofautisha mahubiri na ushahidi.

Hujaweza kuthibitisha kwamba kitabu cha mwanzo si hadithi tu.
thibitisha kama ni hadithi tuu? halafu haujanipa majibu ya kitabu cha mwanzo
 
umeambiwa na nani mungu ni kiumbe,au aliumbwa ,naona umeongea kama umeshaconclude kwamba kuna sehemu imesemwamungu kaumbwa
unaelewa maana ya kiumbe lakini "" kiumbe ni " ni aina ya kitu kilicho umbwa " kwahiyo Mungu wake naye nikiumbe " mwenye Mungu wake " maana naye aliumbwa ....so kwa mantiki hiyo uweza wake wa yote unayokea wapi "" endapo kama kuna ambaye aliyemuumba " kwanini asingetumia uweza wake wa yote " kuzuka tu " ili aepuke kuitwa kiumbe ""?
 
aliyoeleza yohana sijayakataa ni ya kweli kabisa sema kwa hoja aliyoijenga kwakua Mungu ni pendo basi asihukumu wenye dhambi icho ndo ninachokikataa ...uki relax utanielewa
mtoto mchanga " aliyedondokewa na ukuta au kufa baada ya tetemeko " kosa lake liko wapi ""? waweza niambia upendo wa Mungu ulipo " katika tukio kama hilo ...
 
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo kwa njia yoyote.
mara ngapi unataka nikwambie kuwa uthibitisho wangu ni wa kiimani zaidi kitu ambacho wewe huna...umekengeuka ??? mnapenda sana kijificha ficha mnapoulizwa maswali yenye hoja.
 
Indeed Gudume.

Siamini kuwapo kwa Mungu, uchawi, malaika, majini, shetani, vinyamkera, vibwengo, popobawa, maruhani, Santa Claus, The Loch Ness Monster etc.
unaniharibu mkuu ushaanza kuniambukiza kutokuamin ivi vitu ,,kasoro mungu tu
 
u

Mungu ni roho siwezi kuithibitisha kwa kukuonyesha kwa kushika, je nawewe unaweza ukanionyesha roho yako?
Akikwambia hana roho utakataa?

Kama utakataa ionyeshe hiyo roho na Mimi niijue ilivyo
 
Back
Top Bottom