Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kasome theories mbalombali hata ukisoma geography advance itakuonyesha formation of the universal utaeleawa na utaona theory ya kimungu iko weak kuliko zote haina evidence zaidi ya maneno matupu
sasa si ndo uilete hata kwa ufupi najua maelezo hata yakiwa mengi katika kusoma kitu knowledge inakua ni ndogo tu na inaelezeka kwa ufupi leta iyo knowledge acha zile story zingine
 
Tukipoanzia ndyo nini?
Ndyo! Ninini hiki?
Bado hujawa fundi wa kucheza na lugha.... Inabidi kwanza jifunze kuandika sentence kwa usahihi maana hata hii badala ya kuandika tulipoanzia ndio nini umekosea spellings
Avoid common errors
 
sasa si ndo uilete hata kwa ufupi najua maelezo hata yakiwa mengi katika kusoma kitu knowledge inakua ni ndogo tu na inaelezeka kwa ufupi leta iyo knowledge acha zile story zingine
Kwa hii comment yako nime thibitisha ile disadvantage of religion inayosea dini inachochea uvivu laziness
Endelea na dini yako ivyo ivyo
 
kwaio nje ya hapo hauna ushahidi wa uumbwaji wa ulimwengu?

wapi kimejipinga?
Kipi kinakufanya udai ulimwengu umeumbwa nje ya kitabu, una ushahidi nje ya kitabu?

Mim ntakwambia ulimwengu haujaumbwa
 
umeambiwa na nani mungu ni kiumbe,au aliumbwa ,naona umeongea kama umeshaconclude kwamba kuna sehemu imesemwamungu kaumbwa
ukiletahuo muktadha .wakusema kuwa kila kilichopo duniani kina muasis wake utakuwa unamaanisha kuwa hata Mungu nae atakuwa na Mungu wake mkuu"".....
Mgunduzi wa Gari mtu " mtu ameumbwa na Mungu " Mungu naye ameumbwa na Mungu wake "" waweza kuniambia chanzo cha huyo Mungu kuwepo nikipi ??
 
Kwa hii comment yako nime thibitisha ile disadvantage of religion inayosea dini inachochea uvivu laziness
Endelea na dini yako ivyo ivyo
uvivu hauletwi na dini uvivu ni swala la kibaiolojia labda umerithi au utashi wako kuwa mdogo ila sio dini
 
kwani Mungu alisema mimi ni upendo kwaio nitawapa watu chakula bila kufanya kazi au sitowaua watoto wachanga kwani hawana kosa wapi Mungu alitaka aaminiwe kwa masharti hayo? kama yapo maandiko hayo basi ntakubaliana nawewe pia uelewe mambo mengine yanaendelea na kampa mwanadamu utashi kwani ndo anaendeleza uumbaji wa Mungu binadamu inabidi ajue kwamba ukuta huu una ufa ni hatari kwani kimbunga kikija ukuta utadondoka hapo Mungub hayupo ni utashi aliokuachia we umechagua kukaa singida au dodoma unajua kukame hauchimbi visima kwa ajili ya kulima kwa umwagiliziaji hapo ukifa Mungu hausiki ni utashi wako tuu mwenyewe kuwa mdogo kwa mfano kuna nchi zipo jangwani ila hazilii njaa ila wewe mgogo au mnyiramba ukilalamika unakufa njaa ni utashi wako mdogo kutojiandaa Mungu hayupo hapo
Acha ujinga "" neno upendo linamantiki IPI kwako ""? baba kajenga nyumba halafu anaweka mabomu katika hiyo nyumba "" halafu anawaambia Watoto atakaye lipukiwa na hayo mabomu shauri Yke "" halafu hapo hapo " ana waambia kuwa anaupendo na nyie mtamuelewa kweli huyo baba""? .......kwanini asionyeshe upendo wake kwenu kwakujenga nyumba ambayo haina mabomu "" ili atakapo waambia kuwa anaupendo nanyi"" muweze kuona kuwa anaishi ndani ya anachokiongea .....""

Mungu muweza wa yote " Mwenye upendo kwa wote hayupo "" tusidanganyane hapa
 
Kiswahili sanifu ni mpendwa mtazamaji na si mpenzi mtazamaji.

Mpenzi wako ni yule wa kule home unaye share naye mambo flani,yaani yale mambo ya gizani.
 
andiko la nini ..siamini huo ujinga..."" hata wewe ukiwa na mamlaka leo hii unaweza ukawaambia watu kuwa wewe ni Mungu " ukachapisha vitabu na kuvisambaza duniani.."ukatumia media kujitangaza baada ya miaka 100 ukawa na msululu wa waumini wanao kuamini....so hebu achana na hzo hekaya za uwongo " sijui petro kafanyaje "" hazitokusaidia kitu
Kwanini aamue kujiita Mungu na si mchawi au hearl?

Neno mungu lina maana gani kwani?
 
Back
Top Bottom