Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Una nywele sawa, lakini umetambua uweupe ktk ndonga yako ni kuwa haung,amui vitu kuvipa maana zaidi ya kile utakacho.

Wewe ni mzuri ktk kuandika makala likija suala la ujengaji hoja mae to man upo mweupe.

Unapozungumzia akili unazungumzia kwa maana hipi?

Haujatoa maana ya akili sasa ntajua una maanisha nini?

Wengne wametoa maana ya akili kuwa ni kudadavua vipi ktk postive na negative.

Mwingne kadai akili ni kutambua uwepo wa mungu nashangaa wewe hautaki kutoa maana ya akili.

Akili ni nini?

Ili ujibiwe kama ninazo, sina au sijui.

Ati kwenye nini vile? Ndonga? Sing'amui!? Ufafanuzi tafadhali hapo!

Mengine yote uliyoandika ni mtazamo wako....kunihusu sikuzuii kuwaza hivyo
 
As to 2010, wakristo ulimwenguni kote walikuwa asilimia 30 tu ya watu wote duniani, hii ni pamoja na mimi na Kiranga ambao tubatizwa lakini baadae tukagundua ni uzushi, ukituondoa, idadi inapungua zaidi, wewe 42_007 nani kakuambia believer ni wengi zaidi?
Kukengeuka kwenu haku justify kwamba mliyoyagundua kuwa ndo sahihi
 
Ati kwenye nini vile? Ndonga? Sing'amui!? Ufafanuzi tafadhali hapo!

Mengine yote uliyoandika ni mtazamo wako....kunihusu sikuzuii kuwaza hivyo
Akili ni nini?

Naomba maana yake, ujibiwe kama ninazo au sina au sijui.
 
Ati kwenye nini vile? Ndonga? Sing'amui!? Ufafanuzi tafadhali hapo!

Mengine yote uliyoandika ni mtazamo wako....kunihusu sikuzuii kuwaza hivyo
Anza kufafanua akili ni nini kwanza.

Sio unataka wengine wafafanue tu, wewe ukiombwa ufafanue hutaki.
 
Nimefatilia toka mwanzo aliyeanza kuuliza AKILI ni nini ndo ameanza kupindisha mjadara maana sioni Kama ndo ilikuwa target
 
I mean aliyeanza kuuliza kama mwenzake ana akili ndo hapo mjadala umepindishwa
 
Anza kufafanua akiki ni nini kwanza.

Sio unataka wengine wafafanue tu, wewe ukiombwa ufafanue hutaki.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]uliuliza akili ninini nikakujibu ila wewe ukashindwa kabisa kujibu kama una akili ama huna
Sasa hivi unataka ufafanuzi wa akili... Kaazi kweli kweli
Hebu msaidie basi kumjibia huyo ndonga ninini
 
Back
Top Bottom