JIBUInawezekana mkuu.
Akili ni nini?
Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote angekuwepo hata mjadala wa kuwepo Mungu usingekuwepo.Tatizo dini zimeonekana kama biashara inufaishayo jamii chache,sasa haya kwa MTU aliyefundishwa Barabara kumhusu mungu na akiangalia yatokeayo anaamua kuamini mungu in porojo.mfano ukiwa na akili timamu ukayaona kwa uchache ayafanyayo na kuyaamua mmarekani dhidi ya mataifa mengine,unapata picha kwamba mungu in bosheni
Ndio,kwa kujifunza,kuelewa na kuchambua mambo!
Kwani vipi?
Ndio.Kwani vipi??Kwa muktadha huu, hapa tunachokiongelea ni uwezo wako wa kujifunza, kuelewa na kuchambua mambo, tuko pamoja?
Leta hoja, si viroja.JIBU.
[HASHTAG]#Akilisinini[/HASHTAG].
umemfukuza sasa abaki afanye nini?labda u edit comment yako ndipo atakujibu suala lako na nina uhakika mshana jr ana majibu lukuki ila kibri yako imemkwazaTypical ya pseudo-intellectuals. Maswali magumu mnayakimbiaga.
Ndio.Kwani vipi??
Una AKILI ama huna AKILI? JibuTumeshndwa wangapi?
Swali lako halieleweki haujalifafanua zaidi ndyo maana umepgwa swali ktk kujibiwa muundo wa swali.
Ulichouliza haukijui kukielezea, utawezaje kuelewa hata jibu ukipewa?
Akili ni nini?
Akili ni nini?Una AKILI ama huna AKILI? Jibu
Kiranga anauliza maana ya neno akili,sasa hata tukisema Kiranga hana akili kwa sababu haamini mungu bado swali lake la akili nini litakuwa bado halijajibiwa.Ndiyo maana kiranga anauliza maana ya akili.Ili kama ni hii ya kuamini uwepo wa mungu aseme hana,au kama nyngine asema inavyostahiki.
Uwezo/kiwango cha kuelewa.Akili ni nini?
Ana nguvu zote, ana uwezo wote ana kila kitu, lakini kila siku tunahubiriwa tumfate. Kwa nini tusimfuate "automatically", kwa nini tushurutishane kumfuata?Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote angekuwepo hata mjadala wa kuwepo Mungu usingekuwepo.
Ungekuwa mjadala ambao hauyumkiniki kuliko mtu kufanya mjadala kama yeye mwenyewe yupo.
Hata ukitambua ujinga wake ndiyo utafanya nini? hebu tizama huu mjadala na kinachobishaniwa.Sasa"" mjinga atashinda vipi mkuu""!? maana wanaofuatilia mjadala watautambua ujinga wake kutokana " na uwezo wake mdogo wa kubishana bila logic/fact "" labda kama atapewa huo ushindi na wajinga wenzake ambao ndio "" wafuatiliaji wa huo mjadala"" ila kama mjadala unafuatiliwa na watu timamu wa akili sidhani kama huyo mjinga atashinda
Mbona huelewi?Unaweza kuuthibitisha huo uwezo wako unaodai unao mkubwa sana? Ulichokiongelea ni matokeo ya akili kwa mujibu wa tafsiri niliyoitoa awali.
Hakuna aliyesema akili ni kutambua uwepo wa mungu,bali mwenye akili ni yule mwenye kuutambua uwepo wa mungu.Kuna mtu kasema juu hapo akili ni kutambua uwepo wa Mungu, nikasema kwa definition hiyo sina akili.
Sasa mtu kama huyo, ukitaka kujibu swali kichwa kichwa, unaweza kuwa huamini Mungu halafu ume solve Poincare's conjecture yako huko, ukasema mimi nina akili, kumbe kwake usipoamini Mungu huna akili.
Ndiyo maana ni muhimu tuanze na definitions kama tunaandika insha.
Ndiyo maana nikauliza.
Akili ni nini?
Sijajibiwa.
Na hakuna niliposema kushinda mabishano ni kitu kibaya,ila nimesema Kiranga amejikita kushinda mabishano kwa hali yeyote. Sasa kama hao (manabii wako) nao walijikita kushinda mabishano kwa hali yeyote kama ufanyavyo wewe sawa.Kushinda mabishano si kitu kibaya.
Aristotle alishinda mabishano. Socrates alishinda mabishano. Galileo alishinda mabishano. Tycho Brahe alishinda mabishano. Copernicus alishinda mabishano.Newton alishinda mabishano. Einstein alishinda mabishano. Niels Bohr alishinda mabishano
Pinga hoja kwa hoja, si kubwabwaja viroja.