Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,743
maana halisi ya kitu kisicho kuwa na mwanzo wala mwisho ni pekee kicho affectiwa na muda no past no future topmind, jesus,anu,malaki, yehova,shiva, krishina,omen and ashunu are the architects of reality and the are keeper kama anubis na azraelNikukumbushe,ambaye ni "NIKO AMBAYE NIKO" ni Mungu wa Biblia tu,not any other being.Maana yake ni kwamba hana mwanzo wala mwisho,this is one of His attributes.Na ni kweli,He has no beginning or end.Na kweli ndivyo alivyo.
Acheni kuamini ujinga,embrace truth.