Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Biblia kitabu chenye makossa chungu mzima ndio kiwe kitabu cha mungu 🤣 🤣 🤣 🤣 huyo mungu wa biblia mbona hamna kitu yule maana ingekuwa biblia kitabu cha mungu kisingekuwa na makossa
Sio kweli,bacause you can only understand the Bible if you have the Holy Spirit,na wewe huna.It is the Holy Spirit who teaches anybody the Word of God.God is a Spirit,so you must be in the Spirit to understand His Word.

Kwamba Biblia ina makosa mengi ni mafundisho ya mapepo.Na kwa nini mapepo yanasambaza mafundisho haya ya uongo?Nia ni ili yapate company yako in eternal hell,kwa kuwa yenyewe na kiongozi wao Lucifer hawana nafasi tena ya kutubu,they are already condemned to eternal hell.
 
hiyo inaitwa star of david ina mambo mengi sana ilikuwepo toka Enzi ina uhusiano mkubwa na magic that's why magician waislam wakristo wayahud witchcraft masonic trader freemason wote wanaitumia kwamaelezo Zaidi isome star of david
It is a Satanic symbol,it is as simple as that,na yeyote anaye itumia is Satanic,haijalishi ni dhehebu or whatsoever.Mkristo wa kweli hawezi kutumia the so called Star of David.
 
Binadamu anajisaidie mwenyewe halafu Mungu anachukua credit,

Unaamka asubuhi unaenda kupambana ukipata unasema asante Mungu, kwanini Mungu asikupe wewe ulale?

Mtu anakufa Tunasema Mungu amlaze pema peponi, kwanini asimponye?

Binafsi sioni uwepo na msaada wowote wa Mungu kwangu, kila kitu nafanya mwenyewe,.
Ajabu sana,na niseme ukweli,na sikutukani,kwa kuwa upumbavu sio tusi,wewe ni mpumbavu.Nasema hivyo kwa kuwa Mungu mwenyewe kasema "mpumbavu amesema hakuna Mungu."

Nikuulize swali moja,"wewe umetoka wapi,and why are you here on Earth." Naomba unijibu swali hilo with care and conscientiousness.
 
It is a Satanic symbol,it is as simple as that,na yeyote anaye itumia is Satanic,haijalishi ni dhehebu or whatsoever.Mkristo wa kweli hawezi kutumia the so called Star of David.
israel taifa teule kaika bendera yao wamweka star of david je taifa lao nalo linaabudu satan
 
Sio kweli,bacause you can only understand the Bible if you have the Holy Spirit,na wewe huna.It is the Holy Spirit who teaches anybody the Word of God.God is a Spirit,so you must be in the Spirit to understand His Word.

Kwamba Biblia ina makosa mengi ni mafundisho ya mapepo.Na kwa nini mapepo yanasambaza mafundisho haya ya uongo?Nia ni ili yapate company yako in eternal hell,kwa kuwa yenyewe na kiongozi wao Lucifer hawana nafasi tena ya kutubu,they are already condemned to eternal hell.
kwa hiyo kuijua biblia mpk uwe na holy sprit ?
 
Ajabu sana,na niseme ukweli,na sikutukani,kwa kuwa upumbavu sio tusi,wewe ni mpumbavu.Nasema hivyo kwa kuwa Mungu mwenyewe kasema "mpumbavu amesema hakuna Mungu."

Nikuulize swali moja,"wewe umetoka wapi,and why are you here on Earth." Naomba unijibu swali hilo with care and conscientiousness.
Hapana hujatukana, mimi nimesema Mungu hayupo. Nipe vielelezo kwamba yupo
 
hujawai pata story magics au witchcraft na related staffs zili anzia wapi na utalamu huu binadamu tuliutoa wap
The word magic come from the word magoi hawa magoi walikuwa Persia people kwa wagiriki ni magi maana yake ni wise men kwa hivyo watu wa zamani ambao waliokuwa na busara katika utawala wa persia waliitwa magoi na utawala wa persia katika biblia unajulikana kama uajemi kumbuka babel ilipovunjika zilitoka tawala 2 umudi[medes] na uajemi[persia] na hapa ndio neon magoi lilipata umaarufu likaenda mpk kipindi kile yesu anazaliwa

kumbuka yesu wakati anatabiliwa waliomtabili ni wise men nyinyi mnawaita manabii na makuhani na hawa wise men waliwaambia watu the king of jews atazaliwa kwakuwa hawa wise men walikuwa both magician na astronomer kama waliweza kupredict nyota ya yesu kwa kupitia wamajusi would you say it was magic
 
mungu gani unaweza kusema unaamini mungu wako mti ndie aliyekuumba je tutakubali
Hapana Mimi Mungu wangu ni yule aliyeumba mti na vyote tunavyoviona na vile ambavyo hatuvioni..


Ukitumia akili utajua tu kama Mungu yupo... Mfano_Hiyo simu unayotumia na systems zote zilizopo ndani yake unaamini kuna kampuni yenye wataalamu ambao wameitengeneza...., (BILA SHAKA JIBU NI NDIYO). Basi kama jibu ni ndiyo hata mwili wa binadamu ambao una Systems Bora kabisa pia una mtengenezaji!!
 
Hapana hujatukana, mimi nimesema Mungu hayupo. Nipe vielelezo kwamba yupo
Wewe mwenyewe how you are wonderfully created,the Universe with all its' superbly organized galaxies and controlling forces,prove that there is an extremely intelligent and powerful Being called God.
 
The word magic come from the word magoi hawa magoi walikuwa Persia people kwa wagiriki ni magi maana yake ni wise men kwa hivyo watu wa zamani ambao waliokuwa na busara katika utawala wa persia waliitwa magoi na utawala wa persia katika biblia unajulikana kama uajemi kumbuka babel ilipovunjika zilitoka tawala 2 umudi[medes] na uajemi[persia] na hapa ndio neon magoi lilipata umaarufu likaenda mpk kipindi kile yesu anazaliwa

kumbuka yesu wakati anatabiliwa waliomtabili ni wise men nyinyi mnawaita manabii na makuhani na hawa wise men waliwaambia watu the king of jews atazaliwa kwakuwa hawa wise men walikuwa both magician na astronomer kama waliweza kupredict nyota ya yesu kwa kupitia wamajusi would you say it was magic
magois utaalamu huo mpaka kuitwa wisemen waliutoa wapi?yan spiritual powers na austronomical skills and knowledge
 
Wewe mwenyewe how you are wonderfully created,the Universe with all its' superbly organized galaxies and controlling forces,prove that there is an extremely intelligent and powerful being called God.
God is not a being
 
God is a Being,but perfect in righteousness, power, wisdom, and goodness whom people worship as creator and ruler of the universe.
too slow, no one can even imagine how big the universe is,our planet earth is like a single particle escape from dust then i think the universe can never be ruled by any kindof fleshtype being but conciousness ,top paradim of reality,last dimension within the state of no past, or future and nothing new only the cycle of creation and destruction small mind beings and like you and I we call it time because it affecting us.
There are creatures that are directly connected to the universal mind i like to call them them architects of reality (mike sterfano)and their keepers, guardians of the first order.

kuna channel moja inaitwa GAIA iko youtube ina vitu vitu vizur
 
too slow, no one can even imagine how big the universe is,our planet earth is like a single particle escape from dust then i think the universe can never be ruled by any kindof fleshtype being but conciousness ,top paradim of reality,last dimension within the state of no past, or future and nothing new only the cycle of creation and destruction small mind beings and like you and I we call it time because it affecting us.
There are creatures that are directly connected to the universal mind i like to call them them architects of reality (mike sterfano)and their keepers, guardians of the first order.

kuna channel moja inaitwa GAIA iko youtube ina vitu vitu vizur
The God I am talking about is immutable, omnipresent,omnipotent,omniscient etc.etc.See other attributes below.You can find more attributes of God in detail here.👇
Vidude unavyotaja wewe havina attributes zote za Mungu wangu shown below,vina moja tu,ni spirit,that is all.Kwanza Mungu wangu ndiye aliyeviumba halafu vikaasi.Ni ajabu kwamba unaamini viumbe unamuacha Mungu wa kweli,hata vyenyewe na baba yao Lucifer wanakucheka.Toka kwenye upumbavu wewe,Shetani anakudanganya.
 

Attachments

  • 61a-Gods-Attributes-v2.png
    61a-Gods-Attributes-v2.png
    35.7 KB · Views: 17
The God I am talking about is immutable, omnipresent,omnipotent,omniscient etc.etc.See other attributes below.

Vidude unavyotaja wewe having attributes za Mungu wangu shown below.Kwanza Mungu wangu ndiye aliyeviumba halafu vikaasi.Ni ajabu kwamba unaamini viumbe unamuacha Mungu wa kweli,hata vyenyewe na baba yao Lucifer wanakucheka.
lucifer mbona hana ishu maana kuna spirits nyingi tu zinanguvu kuliko yeye.
ujajua akisena yeye ni niko ambae niko inamaana gan?
 
lucifer mbona hana ishu maana kuna spirits nyingi tu zinanguvu kuliko yeye.
ujajua akisena yeye ni niko ambae niko inamaana gan?
Nikukumbushe,ambaye ni "NIKO AMBAYE NIKO" ni Mungu wa Biblia tu,not any other being.

God Is Infinite, He is Self-Existing, Without Origin​

Maana yake ni kwamba hana mwanzo wala mwisho,this is one of His attributes.Na ni kweli,He has no beginning or end.Na kweli ndivyo alivyo.

Acheni kuamini ujinga,embrace truth.
 
Back
Top Bottom