Hili tatizo na nyie liliwakumba?

Hili tatizo na nyie liliwakumba?

Mzigua_255

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2026
Posts
814
Reaction score
1,647
Wakuu hili tatizo la jf kutofunguka liliwakumba jana jioni ilikuaje mpaka ukajua jf haipatikani mi nilikua nataka ku comment kwenye nyuzi flani ya baba mtakatifuu91 jinsi ku comment mara ghafla bin vu kuna tatizo nikajaribu saa mbili usiku bado kuna matengenezo nikazima cm nikaja kujaribu leo ndo imefungu

We ulijua saa ngapi kwamba kuna matengenezo? JF ilirudi saa ngapi?

NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom