cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,800
eeeee ngoja mwenyewe atakuja usutwe mpaka ukumbuke kwenu katerero gulioni!Walifumaniana jana na Ashadii,wakaparurana,kajifungia ndani anauguza madonda,chezeya Ashadii mtoto wa kitanga?
eeeee ngoja mwenyewe atakuja usutwe mpaka ukumbuke kwenu katerero gulioni!Walifumaniana jana na Ashadii,wakaparurana,kajifungia ndani anauguza madonda,chezeya Ashadii mtoto wa kitanga?
mmmmhhhhh! tuma mwakilishi ili uletewe resultsHiyo namba jibu Yes kwa msisitizo kabisa ili @cacici anayejishaua achukue maamuzi magumu kabla hajawa dissapointed.
naota
Naota
Nadanganywa eeeh
Source: mbaraka mwinshehe mwarukwa (RIP).
Hahahahaaaaaa kwani ni mara ya ngapi mnataka Kudate?
kama kweli unanitaka basi nilipie mshiko na mimi niwe Jf Bronze Member...
Kinyume na hapo, kwaheri :car:
Unanishangaa mimi tena? Bishanga sio bure ni Limbwata la BADILI TABIA ndio linaongea na si wewe ninayekujua lol
Apia...........
Umefuraaaaaaaaaaaahi,,,,,,,--ungejua unachorwa!
kabisa kabisa.... Silali nakuota wewe....
no 2 ni H, coz mi mwenyewe ni victim!
gfsonwin si unamjua anavyopenda manjonjo ya mchana?
btw Cantalisia binti Mtambuzi mbona simuoni siku hizi? au wako hanemuni na Rejao?
Young_Master tulishadivorce, sasa hivi nakaguliwa tu, nikichoka kukaguliwa nitatafuta pa kukimbilia, amuogope kwani ye ACP Msangi??