Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Lol labda kuna giza coz sioni kitunipo tayari mbona, wewe tu!
Heheheheee Young Master hana lolote
Ya nini?naomba PM.
Heheheheee Young Master hana lolote
Kachoka mbaya na kazi siku hizi cacico anasema hawezi ndio maana amekuja huku kwangu baada ya kumkagua kwa umakini wa hali ya juu
Young_Master tulishadivorce, sasa hivi nakaguliwa tu, nikichoka kukaguliwa nitatafuta pa kukimbilia, amuogope kwani ye ACP Msangi??
- N, Nilipoenda kumtembelea na mume wangu, alitwambia atatununulia BMW Z4, but tukakataa sababu tunalo tayari (mi mwenyewe nina misifa misifa ya kihaya hapa)
- H (Linapanda nimgongeapo like)
- S ila inawezekana
- H, kachanga damu ya mchina na mmasai
- S
- S
- H, hajauchuna, anatumia mchina
- H. Msinichonganishe na King'asti
- H, sio kwamba hataki. kuna tofauti kati ya kutaka na kuweza.
- S, ngoja nimuulize AshaDii
Ili la AshaDii we nae unataka ulikoroge,unataka wauane?
- N, Nilipoenda kumtembelea na mume wangu, alitwambia atatununulia BMW Z4, but tukakataa sababu tunalo tayari (mi mwenyewe nina misifa misifa ya kihaya hapa)
- H (Linapanda nimgongeapo like)
- S ila inawezekana
- H, kachanga damu ya mchina na mmasai
- S
- S
- H, hajauchuna, anatumia mchina
- H. Msinichonganishe na King'asti
- H, sio kwamba hataki. kuna tofauti kati ya kutaka na kuweza.
- S, ngoja nimuulize AshaDii
Young_Master tulishadivorce, sasa hivi nakaguliwa tu, nikichoka kukaguliwa nitatafuta pa kukimbilia, amuogope kwani ye ACP Msangi??
Yan hadi nimejishtukia loluna wivu na mke wa mtu wakati na wewe ni chori?
Hiyo tunaikausha kwa kutumia yale magundiMkinikagua mtakachokikuta msikimbizane tu.
Babu aliniambia nisubiri Tattoo ya chini ya kitovu ikauke,
Ndio mnifanyie "Upako"
ol the best! mwambie amshike vizuri, asijemuumiza x wangu!una mkwara wewe! maskini kijana wa watu Young Master,ngoja nitamtambulisha kwa dada yangu Kipipi.