Sio sana kwa kuwa inawezekana aliacha zamani sana..!Kwa hiyo unataka kusema obama dakika tatu mbele?
Hujajua huwa tunakuja kwako endapo tumekosa wakuwakagua na hali ni mbaya?
Heheheheeee BADILI TABIA we ni kama Jamvi la wageni
Kule kuna wenye kamba miguuni lazma wakukwepe wakihofia kuwa wanaingizwa mijininaniliu haina ugangstar, halafu nina mpango wa kuhamia jukwaa la utambulisho, niwawahi huko huko.... Ila wenye mkwanja tu
Hahahaaa nina Experienceumejuaje Erick?
Hajui eeeehhivi siku hizi kuwa mkweli ndo kutokuwa na hela? Halafu huyo pou mwenyewe.....sijui...nitakuPM nikupe story zake....mtu wa bilicana sana huyo.