Kipima joto cha leo.....

Kwa hiyo unataka kusema obama dakika tatu mbele?
Sio sana kwa kuwa inawezekana aliacha zamani sana..!
Siunajua huwa inakaa kichwani kwa miaka 7 tu then inakuwa normal so atakuwa kaanza kurudi kawaida
 
Hahahahaaaa TANMO ni mashine sio akina Bishanga wanaolegea kwa kuitwa Sweetie au baby
Hahahaaaa pale ni gang Star hupawezi baki na akina haoooooo!

naniliu haina ugangstar, halafu nina mpango wa kuhamia jukwaa la utambulisho, niwawahi huko huko.... Ila wenye mkwanja tu
 
Last edited by a moderator:
hivi siku hizi kuwa mkweli ndo kutokuwa na hela? Halafu huyo pou mwenyewe.....sijui...nitakuPM nikupe story zake....mtu wa bilicana sana huyo.
Bishanga utakuwa huna hela wewe!:alien:
:A S 465: mbona una majungu sana? afu muulize Asprin kilichompata kwa kunilengeshea kwa Erickb52, PAW atakushughulikia hutoamini! :flypig:usinitaje!
Roulette, siku hizi hatugombei wanaume kabisaa! Ila ukimuona PAW wangu anakufuatilia ujue nimemtuma.:israel:
 
Last edited by a moderator:
Hehehehee King'asti unajifanya unamkinga kifua eeeh
Mi nataka Roulette nimuweke mikononi ili namimi nijidai pasiwe na wa kunigusa...!
Roulette mama....come to ma world nikupe love hadi wanoko washangae....!
Say yes nikupe surprise sasa hivi!

Ukisikia mtu anadai ban kwa nguvu ndo style hii sasa,subiri utakiona cha moto.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom