Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Andika "N" kama jibu ni Ndiyo
Andika "H" kama jibu lako ni Hapana
Andika "S" kama hujui jibu.
Swali letu la leo la kipima joto ni:
1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa?
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi?
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba?
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua?
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf?
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'?
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'?
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette?
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member?
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli?
matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.
Andika "H" kama jibu lako ni Hapana
Andika "S" kama hujui jibu.
Swali letu la leo la kipima joto ni:
1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa?
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi?
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba?
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua?
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf?
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'?
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'?
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette?
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member?
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli?
matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.