Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,952
- 9,863
Ata taarabuJe, wenzako wanaweka nini kama Identity ya mataifa yao?
Chukua Bendera ya taifa letu, chomeka kwenye kimti, kisha iache ipepee huku unasakata singeli kwa pembeni na picha ya Msaga Sumu au Man Fongo, hakika utatutambulisha kimataifa.
Feel the difference.