biarakeyz
Senior Member
- Jan 19, 2016
- 183
- 46
habarini wakuu,
mimi ni mtanzania,niishie nje ya nchi,uwa kila mwaka katika chuo nisomacho tunatamaduni ya kuandaa siku ya maonesho,na siku hii uitwa international day.lakini katika chuo iki niko peke angu,ivo nilikua naomba msaada wa mawazo yenu kipi naweza weka kama mtanzania katika maonesho ayo,kitu icho nilazima kiwe kinausiana na tamaduni ya nchi yako
mimi ni mtanzania,niishie nje ya nchi,uwa kila mwaka katika chuo nisomacho tunatamaduni ya kuandaa siku ya maonesho,na siku hii uitwa international day.lakini katika chuo iki niko peke angu,ivo nilikua naomba msaada wa mawazo yenu kipi naweza weka kama mtanzania katika maonesho ayo,kitu icho nilazima kiwe kinausiana na tamaduni ya nchi yako