biarakeyz
Senior Member
- Jan 19, 2016
- 183
- 46
- Thread starter
- #21
hahahahaha miss natafuta wewemimi ningebase kwenye misosi tu
moja
mapishi ya kongoro
waoneshe jinsi ya kutengeneza kongoro
tafuta miguu ya mbuzi ya kutosha kama mia hivi , tafuta chungu kikuuubwa na jiko chemsha mdogo mdogo
mbili
vichwa vya kuku na utumbo wake
na chips mayai
nadhani banda lako litakuwa halina nafasi