kipi naweza kuweka kama maonesho ya international day chuoni kwangu

Tafuta vivutio vinavyopatika Tanzania peke yake.. Kama picha mt kilimanjaro, ngorongoro, sokwe na vinginevyo af design kwenye picha moja kama Village flan af unakuwa unawaelezea kimoja kimoja
 
Tafuta vivutio vinavyopatika Tanzania peke yake.. Kama picha mt kilimanjaro, ngorongoro, sokwe na vinginevyo af design kwenye picha moja kama Village flan af unakuwa unawaelezea kimoja kimoja
great thinker,asante mkuu
 
HAHAHA AKUNA MKUU
Unaweza tafuta udongo mfinyanzi ukatengeneza hata chungu au NGUO za katani pia kuleta mvuto wa kitu kiendane na utamaduni wako. Pia utamaduni unachukua mambo mengi hata ususi au kuimba kwa lugha yako pia itasaidia kukuza lugha yako ya kiswahili
 
Unaweza tafuta udongo mfinyanzi ukatengeneza hata chungu au NGUO za katani pia kuleta mvuto wa kitu kiendane na utamaduni wako. Pia utamaduni unachukua mambo mengi hata ususi au kuimba kwa lugha yako pia itasaidia kukuza lugha yako ya kiswahili
tangu nifike sijawai iona rangi ya udongo wa uku,pia sina uhakika kama naweza pata uo mfinyanzi,kuimba wengine tunasauti mbaya:D
 
Kwa sasa moja ya icon kubwa za Afrika zenye asili ya Tanzania, ni pamoja na lugha ya kiswahili, toa maelezo yake, na viwimbo kadhaa vya kuisifia Tanzania nk. weka audio ya Zanzibar a beautiful island of Afrika, pia Nyerere picha na maelezo yake ktk kuikuza Afrika, mchango wake kisiasa na kijamii pia.

Tamaduni na utalii mengi umeshauriwa, ila si lazima wamasai hata wasukuma na mavazi yao haswa ngoma yao wakiwa wanalima itawavutia wengi. Itafute google.
 
Kwa sasa moja ya icon kubwa za Afrika zenye asili ya Tanzania, ni pamoja na lugha ya kiswahili, toa maelezo yake, na viwimbo kadhaa vya kuisifia Tanzania nk. weka audio ya Zanzibar a beautiful island of Afrika, pia Nyerere picha na maelezo yake ktk kuikuza Afrika, mchango wake kisiasa na kijamii pia.

Tamaduni na utalii mengi umeshauriwa, ila si lazima wamasai hata wasukuma na mavazi yao haswa ngoma yao wakiwa wanalima itawavutia wengi. Itafute google.
wazo zuri mkuu nashukuru
 
kitu nimefurahi ni kuwa kwel ulihitaji uxhaur coz umefatilia kila ulichoxhauriwa.(upo active from the beggining). nikirudi ntakuja na kitu kizuri.
 
weka picha ya nyerere ueleze mchango wake katika kuzipatia uhuru nchi nyng za afrika.
Weka tshirt zenye nembo za vivutio vyetu ikiwemo wanyama wapatikanao Tz i.e twiga, mlima kilimanjaro, yenye maneno "karibu Tanzania".
elezea upekee wa inch yetu kua na makabila zaid ya mia pasipo na ukabila, na pia watambue kama hapa ndo chimbuko la lugha ya kiswahili.
Onyesha baadh ya vyakula vyetu vya kiasili.
Ungepata michoro ya tinga tinga na vinyago vya kimakonde na kupamba banda lako kwa kanga, ingevutia sana.
NB; uje kutupa mrejesho.
 
Back
Top Bottom