MSAADA: Nilipoteza risiti ya benki ya malipo ya ada. Naweza kupata kopi ili niwasilishe tena chuoni?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,659
20,995
Asalaam aleykum, na ijumaa kareem jamiya!

Habarini,

Kuna malipo nilifanya kwa chuo fulani kiasi cha shs 500,000/-mwaka jana may, utaratibu wangu ni kuwa baada ya kulipa nmb wakala, huipiga picha pay in slip na kuituma kwa muhusika naye hui print na kuiwakilisha chuoni na ndipo huruhusiwa kupiga hatua fulani za masomo yao,

Sasa baada ya kufanya malipo hayo mwezi may mwaka jana, katika kaguzi zao hapo chuoni wamekuta ya kijana haikuwakilishwa, ajabu ni kuwa kama haikuwakilishwa asingelikuwepo chuoni mpaka muda huu,

N. B, vyuo huwa viko makini sana na ADA kuliko chochote kile, pia bahati mbaya receipt ile ya tokea mwaka jana imenipotea, kwa issue ya namna hii naweza kufanyaje kupata kopi ili niwakilishe tena chuoni, malipo nilifanya mwaka jana mwezi wa tano, tarehe nimepoteza kwa kweli

Msaada pls.
 
Kama Huwa unahifadhi picha kwenye google photos fungua huko utaikuta....
 
Asalaam aleykum, na ijumaa kareem jamiya!

Habarini,

Kuna malipo nilifanya kwa chuo fulani kiasi cha shs 500,000/-mwaka jana may, utaratibu wangu ni kuwa baada ya kulipa nmb wakala, huipiga picha pay in slip na kuituma kwa muhusika naye hui print na kuiwakilisha chuoni na ndipo huruhusiwa kupiga hatua fulani za masomo yao,

Sasa baada ya kufanya malipo hayo mwezi may mwaka jana, katika kaguzi zao hapo chuoni wamekuta ya kijana haikuwakilishwa, ajabu ni kuwa kama haikuwakilishwa asingelikuwepo chuoni mpaka muda huu,

N. B, vyuo huwa viko makini sana na ADA kuliko chochote kile, pia bahati mbaya receipt ile ya tokea mwaka jana imenipotea, kwa issue ya namna hii naweza kufanyaje kupata kopi ili niwakilishe tena chuoni, malipo nilifanya mwaka jana mwezi wa tano, tarehe nimepoteza kwa kweli

Msaada pls.
Kama yupo chuo kikuu au Diploma anaweza kuingia katika mtandao wake wa Chuoni na akapata details zake za malipo
 
Kama yupo chuo kikuu au Diploma anaweza kuingia katika mtandao wake wa Chuoni na akapata details zake za malipo
Yupo diploma utitiri wa risiti zote wameziona mpaka nilizolipia mwaka huu 2023, mkuu hiyo risiti moja tu ndio issue, nafikiria kwenda bank, kwani huko si watakuwa na rekodi zote za miaka na miaka?
 
Mfumo wa kozamani uo vyuo vya nchii bado wapo nyuma Mimi chuo nilivyosoma ulikuwa ukilipa Ada haina haja ya kutunza risiti Tena maana Taarifa za malipo zinaingia katika account yako ya chuo
Huu ni uhuni tu wanafanya. Kwani fedha zikiibgia kwenye account ya shule si huwa inaonyesha?
 
Asalaam aleykum, na ijumaa kareem jamiya!

Habarini,

Kuna malipo nilifanya kwa chuo fulani kiasi cha shs 500,000/-mwaka jana may, utaratibu wangu ni kuwa baada ya kulipa nmb wakala, huipiga picha pay in slip na kuituma kwa muhusika naye hui print na kuiwakilisha chuoni na ndipo huruhusiwa kupiga hatua fulani za masomo yao,

Sasa baada ya kufanya malipo hayo mwezi may mwaka jana, katika kaguzi zao hapo chuoni wamekuta ya kijana haikuwakilishwa, ajabu ni kuwa kama haikuwakilishwa asingelikuwepo chuoni mpaka muda huu,

N. B, vyuo huwa viko makini sana na ADA kuliko chochote kile, pia bahati mbaya receipt ile ya tokea mwaka jana imenipotea, kwa issue ya namna hii naweza kufanyaje kupata kopi ili niwakilishe tena chuoni, malipo nilifanya mwaka jana mwezi wa tano, tarehe nimepoteza kwa kweli

Msaada pls.
Kwani hiyo risiti ya benki muwekaji jina lake ni nani ?.
Mambo mengine muache kusumbua watu na sijui chuo unaenda kupunguza ushamba au kuongeza.

Kuna risiti isiyokuwa na taarifa ya muwekaji wakati unaweka ada ya chuo
 
Huu ni uhuni tu wanafanya. Kwani fedha zikiibgia kwenye account ya shule si huwa inaonyesha?
Nakubaliana na wewe wanachofanya ni uhuni, kwa 100%,na kwa chuo ambacho anasoma usipolipa husomi hawana subira, wala huruma, how baada ya kuonyesha risiti aliendelea?, najiandaa kukianika hapa lives, na uhuni wao!
 
Kama unakumbuka tarehe na mwezi nenda hapo chuo watakupa faili utapata nakala ya hayo malipo uliyofanya benki

Ukiona tabu kabisa nenda benki ulipofanyia malipo watakutafutia ila utatozwa fedha na watakuelekeza utaratibu
 
Kwani hiyo risiti ya benki muwekaji jina lake ni nani ?.
Mambo mengine muache kusumbua watu na sijui chuo unaenda kupunguza ushamba au kuongeza.

Kuna risiti isiyokuwa na taarifa ya muwekaji wakati unaweka ada ya chuo
Habari mkuu risiti katika milpaji huandikwa Jina la mwanafunzi husika, mlipwaji huwa ni chuo husika, na a/c ya chuo husika mkuu, ninachoomba ni solutions!
 
Kwani huwezi kwenda bank ukapata mlejeo wa hiyo payment?, Hata Kama ni wakala wa Bank lazima wataonesha malipo uliyoyafanya kikubwa ni tarehe husika ya muamala.
 
Yupo diploma utitiri wa risiti zote wameziona mpaka nilizolipia mwaka huu 2023, mkuu hiyo risiti moja tu ndio issue, nafikiria kwenda bank, kwani huko si watakuwa na rekodi zote za miaka na miaka?
Bank zipo, last time nilipoteza pia nikaenda pewa kopy nililipa 50000 ilikuwa 2018.
 
Mfumo wa kozamani uo vyuo vya nchii bado wapo nyuma Mimi chuo nilivyosoma ulikuwa ukilipa Ada haina haja ya kutunza risiti Tena maana Taarifa za malipo zinaingia katika account yako ya chuo
Vyuo vyote Tz ukilipa nakufanya registration ya semister husika tu record zote zinakuwa digitalized kusumbuana kuhakiki na risiti ni wao tu ndio wanasumbua
 
Mkuu Mwambie huyo kijana aingie katika Account yake ambayo huweka matokeo yake ya kila semester wanaoneshaga malipo yote
Mkuu nimesoma hapa na kupiga simu direct ajabu, anasema katika account yake hakukuwa na gap ya kutokulipa, to date, wameshtukizwa tu angalieni account zetu ndipo akaona gap ya kutokulipa, possibly ma I. T wamefanya mpango kazi mkuu.
 
Hapo anaepaswa kufuatilia miamala ya a/c ilikoenda hela ni mmiriki wa a/c mwenyewe.
Najua chuo hawatafuatilia hili.
Kurahisisha, nenda kwa wakala ulipodeposit hiyo hela mweleweshe kadhia unayopitia kama unaikumbuka tarehe au mwezi uliofanya transaction, mwambie akutolee nakala ya hiyo taarifa.
 
Mkuu nimesoma hapa na kupiga simu direct ajabu, anasema katika account yake hakukuwa na gap ya kutokulipa, to date, wameshtukizwa tu angalieni account zetu ndipo akaona gap ya kutokulipa, possibly ma I. T wamefanya mpango kazi mkuu.
Mfumo nahis umeshake ebu wasiliana na IT wa chuo Mkuu then taja chuo yawezekana tukapata msaada haraka maana lakitano ni hela nyingi Sana kwa Muda huu hasa ukizingatia na uchumi wetu Watz
 
Back
Top Bottom